:hail:I bow to the docs, hands down, thats pure science! Inasikitisha sana mtu ana mgonjwa kwenye critical condition, daktari akiokoa maisha yake shukrani anapewa mungu, how does he even come into this?!!...:wacko:
Kuwa sio Mungu anaefanya niliyosema kwenye post yanguKukubali nini mkuu?
Nilimpa sababu za mimi kusema ni Mungu na nikampa nafasi ya kuthibitisha kuwa sio Mungu anaefanya hayo na ameshindwa hadi sasaNi hivi hapa mimi niko neutral (sijui ni Mungu au si Mungu), mleta mada anasema si Mungu, wewe unasema ni Mungu.
Unataka uthibisho wa namna gani?Sasa wewe usemaye ni Mungu naomba uthibitishe, na mleta mada na yeye athibitishe (nafikiri umeshamuuliza swali).
Safi sanaLeo nataka elimu tu, siko upande wowote.
Kwa hilo swali naona jamaa mmempa kibano mpaka anaanza kuchepuka anaanza kuongea vitu ambavyo havipo kwenye swali Lakini Ishmael anamrudisha kwenye mstari tu, hebu ngojea niendelee kushuhudia...Nasubiria hili jibu hapa ........
Ngoja huyu jamaa aje na jibu
Mkuu wa chuo kuna utam hapa Sangarara uko wapi mazee?
Kuwa sio Mungu anaefanya niliyosema kwenye post yangu
Nilimpa sababu za mimi kusema ni Mungu na nikampa nafasi ya kuthibitisha kuwa sio Mungu anaefanya hayo na ameshindwa hadi sasa
Unataka uthibisho wa namna gani?
Safi sana
Nisaidie kile unachotaka kujua kwa hilo swali hapo juu
By the way,habari ya siku?
Free ideas alileta mada wamempa kibano hajaonekana, sasa labda na huyu mwenzake sijui kama atahimili, hawa inawezekana wakawa wametoka kule kwa kina Gavana maana uwezo wao unatia shaka ngojea niendelee kumsoma CYBERTEQ labda anaweza akawa tofauti na mwenzake...Labda Dreadnought anaweza kumsaidia
Huyo jamaa sijui ana matatizo gani!
Jamaa ameshachemka ........!!
Aliye create pure science ni Mungu, hata hao madaktari hawakujiumba wala kujizaa, that's the way God comes into picture dude..That super power that gives you breath, the.power that decides when you are going.to go deeper into earth.
Labda Dreadnought anaweza kumsaidia
Huyo jamaa sijui ana matatizo gani!
SawaKama nilivyokwambia mwanzo, siwezi kukubali au kukataa pasi na uthibitisho
Mantiki inakana kuwepo kitu chenye mpangilio kama binadamu bila kuwepo muwekaji wake,hivyo mimi na mwingine yoyote anaetumia mantiki atakubali kuwa hata nyumba haiwezi kuibuka tu bali lazima kuna mjenziSababu zako ulizompa ndio zilinifanya nikuulize uthibitisho wa hizo sababu,
Mf. kuhusu Mungu kuwapa akili hao madaktari ni moja ya sababu ulizotoa, Je unaweza thibitisha ya kuwa Mungu ndo kawapa akili madaktari?
Huo hapo juuUthibitisho wowote ule ambao hautasababisha maswali zaidi.
Hao madaktari wanamtibu binadamu kwa kufuata kanuni alizo nazo huyo binadamu,hawawezi kubadilisha mshipa unaoingiza damu kwenye moyo na kuuweka mahali pa unapotoa damuNinachotaka kujua hapa ni kuhusu usahihi wa mada hii, (je mleta mada yuko sahihi kusema kwamba madaktari ndio wanaostahili shukrani na si Mungu?)
Kama uko sawa namshukuru MunguHabari ya siku ni nzuri mkuu, sijui kwa upande wako
Free ideas alileta mada wamempa kibano hajaonekana, sasa labda na huyu mwenzake sijui kama atahimili, hawa inawezekana wakawa wametoka kule kwa kina Gavana maana uwezo wao unatia shaka ngojea niendelee kumsoma CYBERTEQ labda anaweza akawa tofauti na mwenzake...
Mkuu hili suala la wagonjwa wawili kutibiwa na daktari mmoja, mmoja akapona na mwingine asipone, linaweza jibika vizuri kama atapatikana daktari hapa,
Kunaweza kuwa na sababu mf. kuchelewa kuanza matibabu kwa mgonjwa wa pili n.k
Labda nimuombe mkuu Ishmael kama kuna case yoyote kama hiyo ambayo mgonjwa mmoja alikufa kati ya wawili walotibiwa na dakatari mmoja ikiwa all factors remained constant atuwekee reference hapa.
Labda bona amsaidie hilo swali kama ataweza... maana Free ideas sidhani!
Kiranga anaweza akajaribu ila hawa wengine sijui wamekurupuka nashindwa kuelewa, mtu ana pewa logic anaanza kuzunguka zunguka tu, yule Free ideas ndio ameniacha hoi kabisa...Sijaona wa kujibu hapo
Labda anaweza kujaribu yule anaetumia ile list!
Mantiki inakana kuwepo kitu chenye mpangilio kama binadamu bila kuwepo muwekaji wake
hivyo mimi na mwingine yoyote anaetumia mantiki atakubali kuwa hata nyumba haiwezi kuibuka tu bali lazima kuna mjenzi
Kama ni hivyo basi na binadamu nae ana muwekaji na aliyempangilia awe kama alivyo,na huyu aliyepangilia haya ninamuita Mungu
Hao madaktari wanamtibu binadamu kwa kufuata kanuni alizo nazo huyo binadamu,hawawezi kubadilisha mshipa unaoingiza damu kwenye moyo na kuuweka mahali pa unapotoa damu
Hakuna kipya wanachokifanya zaidi ya kufuata kanuni ambazo kama nilivyosema hapo juu ni LAZIMA ziwe na muwekaji
Kama uko sawa namshukuru Mungu
Sijui wewe utamshukuru nani ...lol!
Mkuu hili suala la wagonjwa wawili kutibiwa na daktari mmoja, mmoja akapona na mwingine asipone, linaweza jibika vizuri kama atapatikana daktari hapa,
Kunaweza kuwa na sababu mf. kuchelewa kuanza matibabu kwa mgonjwa wa pili n.k
Labda nimuombe mkuu Ishmael kama kuna case yoyote kama hiyo ambayo mgonjwa mmoja alikufa kati ya wawili walotibiwa na dakatari mmoja ikiwa all factors remained constant atuwekee reference hapa.
Kiranga anaweza akajaribu ila hawa wengine sijui wamekurupuka nashindwa kuelewa, mtu ana pewa logic anaanza kuzunguka zunguka tu, yule Free ideas ndio ameniacha hoi kabisa...
There are so many of such cases and in fact, wakati mwingine anaye fariki ni mwenye afadhali.
1. Kutoka na jibu lako hapo juu, linakubaliana nami kuwa Dawa sio inayo ponya.
2. Kutokana na jibu lako hapo juu, linakubali kuwa Daktari anacho fanya ni kutibu tu.
3. Kutoka na jibu lako hapo juu, linakubali kuwa uponyaji wa mgonjwa si tegemezi katika Dawa.
Kumbe ndio maana tuna kuwa na vifo ingawa mgonjwa amepewa dawa. Uponyaji sasa unaanza kuonekana sio kutoka kwa madaktari wanao toa treatment na au kunywa dawa but upo kwa mwengine ambaye haonekani.
Tunaweza kuweka two cases za heart transplant na cha kushangaza.
1. Wote wanaweza kupona.
2. Wote wanaweza kuto kupona
3. Mmoja anaweza kupona
Ndio maana science bado inabakia tegemezi kwa asiye onekana.
We msome tu lakini tayari ameshachemka!