Computer Engineering na Cybersecurity and Digital Forensics Engineering - ipo kozi bora?

Computer Engineering na Cybersecurity and Digital Forensics Engineering - ipo kozi bora?

Watu tumesoma social protection miaka hyo ilikuwa inatolew ifm tu na South Africa kwa africa tuko apo tunateseka tu kama wengine
Hivi huwa mnafanya kazii maeneo gani degree ya social protection.

Ndo Bank,Tra na Nssf eeeh
 
Nenda kasome cyber apo dodoma mdogo wangu,kwanini kwasababu kwasasa hakuna chuo kinachotoa iyo course Tanzania hii zaidi ya UDOM na Pili iyo course Haina watu wengi japo inahitaji sana potential yako ,pia kazi ni chache laiki zinatoka Chamuhimu uwezo wako na nguvu yakujua mambo inahitajika sana lakini Cha mwisho nikwamba apo kudisco ni kawaida sana
Hahahaa ety kudisco why mk
Badala ya kupoteza miaka minne UDOM kwenye hizo kozi ni bora uende Unique academy pale upanga Ukapige INFORMATION SECURITY kwa miaka mitatu.
Mkuu kwn kile chuo kipo vizur kweny hii couse au nd kam wenzao Arusha Cyber lakin subject business nying 😂😂😂😂😂
 
Nenda kasome cyber apo dodoma mdogo wangu,kwanini kwasababu kwasasa hakuna chuo kinachotoa iyo course Tanzania hii zaidi ya UDOM na Pili iyo course Haina watu wengi japo inahitaji sana potential yako ,pia kazi ni chache laiki zinatoka Chamuhimu uwezo wako na nguvu yakujua mambo inahitajika sana lakini Cha mwisho nikwamba apo kudisco ni kawaida sana
Aende unique mkuuu udsm siasa nyingi pale na kupoteza muda tu
 
Back
Top Bottom