Comrade Peter Magoti afunga pingu za maisha

Comrade Peter Magoti afunga pingu za maisha

Leo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi.
View attachment 1923901

Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.

Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.

Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.

View attachment 1923900
Mkaanga sumu wa magufuli utafikiria robot,acha wahuni wamsaidie kumpelekea moto mkewe
 
Kumbe mambo ni rahisi hivi, sasa hawa wanaoshinda mitandaoni eti wanatafuta wenza wa kufunga ndoa huku wakiambatisha na msururu wa vigezo huwa wanakwama wapi?.
 
Leo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi.
View attachment 1923901

Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.

Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.

Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.

View attachment 1923900
Mwenyezi Mungu awape ndoa ya furaha ,amani ,uvumilivu na mafanikio hapa duniani na kesho mbinguni aaamin aaamin 🙏
 
Back
Top Bottom