Kosa kubwa ni la kuolewa na Kada wa CCM ,Hilo huyo dada atanisamehe kakosea sana.Mapenzi bana yaani mrembo kuangukia kwenye penzi la kada wa ccm tena mwenye kiduva..!
Haya hongera kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa kubwa ni la kuolewa na Kada wa CCM ,Hilo huyo dada atanisamehe kakosea sana.Mapenzi bana yaani mrembo kuangukia kwenye penzi la kada wa ccm tena mwenye kiduva..!
Haya hongera kwao.
Mkaanga sumu wa magufuli utafikiria robot,acha wahuni wamsaidie kumpelekea moto mkeweLeo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi.
View attachment 1923901
Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.
Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.
Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.
View attachment 1923900
Mlinzi?kwahiyo mwendazake alikua na shaolin huyuHuyu jamaa si huwa nilikuwa namwona ni sehemu ya walinzi maalum wa mwendazake? Na sasa bado yupo kwa bi mkubwa SASHA?
Mlinzi?kwahiyo mwendazake alikua na shaolin huyu
AiseeeeHongereni Sana!! Nikajua Magoti wa LHRC Kumbe Magoti wa Mangura.
Huyo alikuwa kwenye kamati ya roho mbaya na kukaanga sumu wakati wa Kayafa.Huyu jamaa si huwa nilikuwa namwona ni sehemu ya walinzi maalum wa mwendazake? Na sasa bado yupo kwa bi mkubwa SASHA?
Mwenyezi Mungu awape ndoa ya furaha ,amani ,uvumilivu na mafanikio hapa duniani na kesho mbinguni aaamin aaamin 🙏Leo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi.
View attachment 1923901
Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.
Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.
Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.
View attachment 1923900
Aaaamin aaaamin🙏Hongera zao Mungu awasimamie
😲😲😲Kosa kubwa ni la kuolewa na Kada wa CCM ,Hilo huyo dada atanisamehe kakosea sana.
Amen🙏Ikawe heri katika ndoa yake