Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Oooh pesa oooh pesa. Pesa baba yako ni nani manoti hela manoti pesa oooh. R.I.P Mtoro Ramazan Ongara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No romance without finance.Kumbe mambo ni rahisi hivi, sasa hawa wanaoshinda mitandaoni eti wanatafuta wenza wa kufunga ndoa huku wakiambatisha na msururu wa vigezo huwa wanakwama wapi?.
Kwa hiyo ule msururu wa vigezo vya 'awe mweupe, mrefu, hofu ya Mungu n.k.' vyote mbele ya pesa vinapiga breki.No romance without finance.
Wanaume tafuteni pesa nguvu za kiume zitakuja tu zenyewe,ila nasikia jamaa ndo kimbola cha uvccmLeo tar 04 Septemba 2021, kada kindakindaki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg Petro Magoti amefunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu, mrembo Joyce Mvungi.
View attachment 1923901
Kada huyu ambaye anafanya kama Ofisa Makao Makuu ya Chama. Alikuwa msaidizi wa karibu sana kwa aliyekuwa Katibu wa NEC, Siasa na uenezi, Ndg Humphrey Polepole.
Mkewe ni wakala wa Ulimbwende wa kampuni maarufu ya Black Fox Models Africa.
Harusi hiyo imefanyika katika viunga vya Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuwatakie ndoa njema na yenye furaha.
View attachment 1923900
Jitoe akili tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwanini isiwe mapenzii
Ndo hivyo mkuu.Kwa hiyo ule msururu wa vigezo vya 'awe mweupe, mrefu, hofu ya Mungu n.k.' vyote mbele ya pesa vinapiga breki.
Utakufa asubhi na mapemaNgoja tumsaidie kupiga show...!!!
Hakuwa mlinzi uyo ni mlinzi wa kiroho labdaHuyu jamaa si huwa nilikuwa namwona ni sehemu ya walinzi maalum wa mwendazake? Na sasa bado yupo kwa bi mkubwa SASHA?
Zakuambiwa changanya na zakoSiipendi ccm na huyo jamaa nasikia ni mtu mbaya Ila najizuia kukosoa maumbile ya Mungu.
Acha ufala mwanangu [emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja tumsaidie kupiga show...!!!
Mapenzi na Njaa ni maaduiKwanini isiwe mapenzii
Kosa kubwa ni la kuolewa na Kada wa CCM ,Hilo huyo dada atanisamehe kakosea sana.
😲😲😲
Mkuu CHUKI huviza moyo....
Hakika....👍Makada wakioana chuki inatoka wapi sasa...
Huyu utapotezwa mapema sanaNgoja tumsaidie kupiga show...!!!
🤣Kwani huyo dada alikua kada wa cdm au tlp!?