Mkuu umeandika kwa uchungu sana😀Usipate shida Mzee nenda buguruni sokoni nunua mihogo ya elfu 2 nyama robo elfu 3
Tangawizi 200 kitunguu swaum 300
Tengeneza mishikaki Yako uki kata portion ndogo size ya inayo uzwa mia5 uta pata mishikaki 8-9
Kwa hiyo mihogo ya efu mbili uki kaanga mwenyewe utakula hata siku 3 na hizi gharama zote ukiweka mkaa na mafuta hazifiki hata elfu10 ....
Kabisa mkuu,umasikini sio mzuriNAchukia umaskini
Hawauzi mshikaki mmoja mmoja??Portion ya mishikaki 25k 😂
Kwanini uende COCO BEACH wakati siyo levo zakoSalaam wana jukwaa.
Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.
Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.
Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.
Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Kama unaona gharama we kula tu kwa mama Mandingo utulieNi level ya watu gani mkuu
Starehe gani sasa kwa hivyo vimishikaki kama karanga?! Si waweke nyama za kueleweka.Hiyo starehe iyako
Gharama laZima
Hapana nazungumzia from eksipiriensiiMkuu umeandika kwa uchungu sana😀
Huo ni utapeli mtupu hapo.Sijawahi ona
Jilaymu mwenyewe waliizaliwa kwenye hela wapo wachache,wengi wamezitafuta,tafuteni nanyi mtapataWa kulaumiwa ni nani mkuu?
Kama havifai achana navyoStarehe gani sasa kwa hivyo vimishikaki kama karanga?! Si waweke nyama za kueleweka.
Mkuu unaitendea haki sana familia yakoHapana nazungumzia from eksipiriensii
Kila jpili kama Leo hua natengeneza mwenyewe mishikaki ya kula na familia nusu kilo tu naenjoy na wanangu bbq ya kihome home tukienda Coco ni kupunga upepo tu
Daaah sawa mkuu ila nadhani nyinyi wenye level ya juu ndo mmefanya coco beach iwe ya kitapeli
Mkuu unaitendea haki sana familiaHapana nazungumzia from eksipiriensii
Kila jpili kama Leo hua natengeneza mwenyewe mishikaki ya kula na familia nusu kilo tu naenjoy na wanangu bbq ya kihome home tukienda Coco ni kupunga upepo tu
Au sioJilaymu mwenyewe waliizaliwa kwenye hela wapo wachache,wengi wamezitafuta,tafuteni nanyi mtapata
Jambo jema ni bora home kuliko uchafu wa cocoKama huna afu hamsini, nenda kwa mumeo, mpe frampeni, mwambie akupikie nyumbani.
Hivyo vimshikaki sijawahi kuvipenda...