Confession about wauza mihogo coco beach

Confession about wauza mihogo coco beach

Usipate shida Mzee nenda buguruni sokoni nunua mihogo ya elfu 2 nyama robo elfu 3
Tangawizi 200 kitunguu swaum 300
Tengeneza mishikaki Yako uki kata portion ndogo size ya inayo uzwa mia5 uta pata mishikaki 8-9
Kwa hiyo mihogo ya efu mbili uki kaanga mwenyewe utakula hata siku 3 na hizi gharama zote ukiweka mkaa na mafuta hazifiki hata elfu10 ....
Mkuu umeandika kwa uchungu sana😀
 
Salaam wana jukwaa.

Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.

Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.

Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.

Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Kwanini uende COCO BEACH wakati siyo levo zako
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana😀
Hapana nazungumzia from eksipiriensii
Kila jpili kama Leo hua natengeneza mwenyewe mishikaki ya kula na familia nusu kilo tu naenjoy na wanangu bbq ya kihome home tukienda Coco ni kupunga upepo tu
 
Starehe gani sasa kwa hivyo vimishikaki kama karanga?! Si waweke nyama za kueleweka.
Kama havifai achana navyo
Toka kwako umekula
Fika coco beach
Chezea mchanga na konokono wa baharini
 
Daaah sawa mkuu ila nadhani nyinyi wenye level ya juu ndo mmefanya coco beach iwe ya kitapeli


Wakienda mahotelini soda tu wanauziwa 2000 Hadi 3000 na hawalalamiki ila Coco Beach wanalalamika hovyo
 
Hapana nazungumzia from eksipiriensii
Kila jpili kama Leo hua natengeneza mwenyewe mishikaki ya kula na familia nusu kilo tu naenjoy na wanangu bbq ya kihome home tukienda Coco ni kupunga upepo tu
Mkuu unaitendea haki sana familia
Jilaymu mwenyewe waliizaliwa kwenye hela wapo wachache,wengi wamezitafuta,tafuteni nanyi mtapata
Au sio
 
Back
Top Bottom