Confession about wauza mihogo coco beach

Confession about wauza mihogo coco beach

C. Beach wamevunja rekodi na mganga wao apewe hongera

Mara ya mwisho kwenda Coco beach nafikiri ni 2010 ama 2011 ile kishule shule,sikumbuki kama walikuwa wanauza mihogo

Nitaenda jumamosi ijayo nikajionee
 
Salaam wana jukwaa.

Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.

Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.

Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.

Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Yenyewe isije kuwa ya meew,woow na zingine zisizo za kawaaiiidaaa
 
Salaam wana jukwaa.

Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.

Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.

Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.

Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Hujalazimishwa kula,wamelenga wateja wao maalumu,hasa wahindi wenye hela za ndagu sio sisi hoe hae
 
Usipate shida Mzee nenda buguruni sokoni nunua mihogo ya elfu 2 nyama robo elfu 3
Tangawizi 200 kitunguu swaum 300
Tengeneza mishikaki Yako uki kata portion ndogo size ya inayo uzwa mia5 uta pata mishikaki 8-9
Kwa hiyo mihogo ya efu mbili uki kaanga mwenyewe utakula hata siku 3 na hizi gharama zote ukiweka mkaa na mafuta hazifiki hata elfu10 ....
 
Salaam wana jukwaa.

Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.

Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.

Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.

Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Kwanini uende COCO wakati siyo levo ZAKO
 
Back
Top Bottom