Confession about wauza mihogo coco beach

Confession about wauza mihogo coco beach

Wauza mihogo na mishikaki wa uswahilini wanaruhusiwa kuleta mihogo na mishikaki yao hapo kwenye ndoo kuwauzia walalahoi ??
Swali zuri
 
Ni wajanja kabla hujaagizia Jua bei kwanza, ukila alafu uulize bei wanajua lazima utalipa ndio maaana wanapandisha bei. Sio coco tu asilimia kubwa ya boda boda biashara za rejareja wanafanya hivyo ni uhuni tu
 
Salaam wana jukwaa.

Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.

Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.

Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.

Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.

Kuna viwanja vya maeneo ya beach kibao tu tena sehem nzuri huwez kuta unauziwa mishkaki bei ya kijinga kama wanavyotapeli hapo coco. Serikali iliacha lile eneo wazi ili walala hoi waweze nao kuja beach kuchezea maji na kula vyakula Kama mihogo. Serikali ikaona iwaruhusu raia wa hali ya chini wajenge hayo mabanda ili wawahudumie walala hoi wenzao!! Kumbe mambo yako tofauti. Wauza mihogo wana bei Kama za hotelini, malala hoi hakanyagi coco.
 
Salaam wana jukwaa.

Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH.

Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia.

Sasa kama wanajamvi naomba tusaidiane namna ya kukabiliana na wahuni hawa.

Tupatie mbinu ya kuhakikisha hauingii kwenye upigaji wa hawa jamaa.
Where is the CONFESSION?
 
Back
Top Bottom