Confession: I miss U so Much NAKADORI

Confession: I miss U so Much NAKADORI

Mimi kinachonishangaza zaidi Ni jinsi walengwa wanavyouchuna hakuna anayekuja ku- counter Uzi unaomlenga😂
 
Kwa hizi nyuzi kuwa nyingi hivi; kunawezekana wameambiana na kwenda kwa karumanzila 😀
 
Acha tu my wangu 😀😀😀mi mwakani
Aah wapi mwaka bado mbichi Sana huu....we Tulia tu Kuna mtu siku atakunywa zakw double kick akikurupuka huko ni waraka wa hamani, utakuna na tag 50 unaitwa🤣🤣🤣🤣sio poa
 
YANI MTOTO WA KIKURTA UNAANDIKA UJINGA HIVI

WAKURYA HAWANYENYEKEI WANAWAKE WEWE SAWA?

ILA NYIE BAADHI YA WANAUME MNATUANGUSHA SANA HUMU JF

MTAKUJA KULIWA
 
YANI MTOTO WA KIKURTA UNAANDIKA UJINGA HIVI

WAKURYA HAWANYENYEKEI WANAWAKE WEWE SAWA?

ILA NYIE BAADHI YA WANAUME MNATUANGUSHA SANA HUMU JF

MTAKUJA KULIWA
KIKURTA ndiyo kitu gani?

Aliyekwambia nimemnyenyekea mwanamke nani?,Kuna mahali hapo umeona nimemnyenyekea?

Kwahiyo wewe tu ndiyo unayetaka mbatoku ila wengine tukitaka ku mbatoku tunaonekana tunawadharirisha wakurya,hivi kweli uko timamu?
 
Back
Top Bottom