miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
sawa mkuu nitafuata ushauri wakoMh! Usiseme hivyo rafiki. Unampa ibilisi nafasi. Hatufahamiani lakini nnakupa heshima mnooooooi!
Ulifumaniwa??haijakutokeeni siku ukafumaniwa unatoka na mke wa mtu..hili ni jambo la hatari kuliko umeme..mi yamenifika masaibu hayo na katu sirudii..bora niwe mwaminifu
nakubaliana nawe mkuu"Ujana ni nusu ya uwendaazimu'
ee bwana..nilijaribu kujificha mle darini ila ilishindikana..ikawa vyema nikabiliane na lile janaume kwa kujikinga tu ila nilipokea mikumbo na miereka kibao..mwisho wa siku nililiomba radhi ila mtoto wa watu niliumizwa vibayavibaya...sina udole kwa huo upuzi tangu hapoUlifumaniwa??
hongera kaka..huo ni ufuska hatari.kifo hasaaNimeshafanya hivyo mara mbili ila nilijitahidi kujizuia saana lakini hawa wanawake walikuwa ibilisi kwa mitego ile na ushawishi na text za mapnz mwanaume yeyote hawez kuchomoka.
Ila nmeweka nadhiri sitaki tena tabia ile na nmeshatubu na kumlilia Muumba Wang anisamehe
Mitihani ya hapa dunianNilikuwa Na Mpenzi Wa Muda Mrefu Sana Kutokana Na Mahangaiko Ya Dunia Akaja Kuolewa Lakini Hatua Zote Alikuwa Ananifahamisha Sasa Nilpoweka Makazi Ya Kudumu Akawa Anataka Kuja Kunitembelea Nami Sijaoa Nikajaribu Kumkwepa Siku Hiyo Anapiga Simu Kuwa Atakuja Nikapuuza Akanitumia Sms Nipo Hapa Stendi Ongea Na Bodaboda Muelekeze Anilete Muda Huo Kama Saa 4 Usiku, Dah Nilichoka Bahati Nilikuwa Mitaa Ileile Nikamfuata Nikawa Namsomesha Nimkodie Taxi Arudi Akagoma Kwa Kuwa Alimuaga Mr Wake Kuwa Anaenda Harusini Hatorudi Alipofika Kwenye Harusi Wakafanya Maujanja Na Shosti Yake Akaja Kwangu Daaah Sikuwa Na Namna Tukafika Gheto Kwa Kweli Ulikuwa "MKESHA WA XMASS" Ila Baadae Nilijutia Sana Nimempiga Mkwara Atulie Na Mr Wake,isitoshe Mr Wake Ni Ustaadh Naogopa Kusomewa Al-Badil Sasa Hivi Sitaki [HASHTAG]#MAZOEA[/HASHTAG] Naomba MUNGU Anisaidie Nisirudie Kutembea Na Mke Wa Mtu [HASHTAG]#SUMU[/HASHTAG]
hivi unalionea hilo fahari?kutoka na mume wa mtu!koma la sivyo utakuja lijutia hiloMmenikumbusha engineer wangu pale mbeya (RIP), alikuwa ananipa hela ya maana miaka ile;
Miaka hii nipo na dogo mmoja mume wa mtu, tulikokutana najuwa mwenyewe.
Eeeh hawavumi lakini wamo ? Unavyo waongeleaga binti zako sijui alipigwa hadi kuzimia na mwalimuMmenikumbusha engineer wangu pale mbeya (RIP), alikuwa ananipa hela ya maana miaka ile;
Miaka hii nipo na dogo mmoja mume wa mtu, tulikokutana najuwa mwenyewe.
kiukweli,ni vigumu mwanamumeWasalaam wana jamvi.
Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa wanalifurahia japokuwa mara nyingi huwa kunasababu inayopelekea kufikia huko.
Katika njia ya kujua chanzo cha ili tatizo ningependa kusikia confessions za members,ilikuwaje ukaingia kwenye huo mtego??
Nikianza na mimi. Nakumbuka siku hiyo nilipokea text ya tafadhali nipigie katika simu yangu toka kwa mke wa jirani yangu. Nilipompigia alitaka kujua nipo wapi alafu akaniambia kama naweza nifike kwake mara moja.
Baada ya mishe zangu niliweza kufika bila wasiwasi maana tumezoeana kimtindo. Kufika,nilikaribishwa sebleni then zikaanza story za hapa na pale,mwisho wa siku akaanza kunisimulia juu juu matatizo aliyokuwa nayo but akawa anaficha some details (sikuuliza sana maana nilihisi hakuwa comfortable kuyaelezea).
Tulizungumza kwa muda mrefu kidogo nikijaribu kumtia moyo kwa kadiri nilivyoweza,ila nilikuja kugundua katika maongezi yetu alikuwa anapenda ya'base' eneo flan huku mda wote macho akiniangalia usoni. Ukizingatia tulikuwa wawili tu,nilimsogelea kujaribu kama namkiss ila kabla sijamfikia tayari alishafika kwangu na kukutanisha lips zetu.
Badae nilijistukia nikanyanyuka kwa wazo la kuondoka,ila alinivuta mkono nakunisukumizia kwenye sofa alaf akafunga mlango na funguo. Siwezi sema alinizidi nguvu,ila katika mazingira yale sehemu kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsupport yule dada. Nikajikuta tayari kwenye himaya yake. Japo badae nilijilaumu na siku hizi najitahidi kuepuka mazungumzo na watu wa hivi katika mazingira private au kama yale.
Je kwa upande wako ilikuwaje??
Karibuni.
JWasalaam wana jamvi.
Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa wanalifurahia japokuwa mara nyingi huwa kunasababu inayopelekea kufikia huko.
Katika njia ya kujua chanzo cha ili tatizo ningependa kusikia confessions za members,ilikuwaje ukaingia kwenye huo mtego??
Nikianza na mimi. Nakumbuka siku hiyo nilipokea text ya tafadhali nipigie katika simu yangu toka kwa mke wa jirani yangu. Nilipompigia alitaka kujua nipo wapi alafu akaniambia kama naweza nifike kwake mara moja.
Baada ya mishe zangu niliweza kufika bila wasiwasi maana tumezoeana kimtindo. Kufika,nilikaribishwa sebleni then zikaanza story za hapa na pale,mwisho wa siku akaanza kunisimulia juu juu matatizo aliyokuwa nayo but akawa anaficha some details (sikuuliza sana maana nilihisi hakuwa comfortable kuyaelezea).
Tulizungumza kwa muda mrefu kidogo nikijaribu kumtia moyo kwa kadiri nilivyoweza,ila nilikuja kugundua katika maongezi yetu alikuwa anapenda ya'base' eneo flan huku mda wote macho akiniangalia usoni. Ukizingatia tulikuwa wawili tu,nilimsogelea kujaribu kama namkiss ila kabla sijamfikia tayari alishafika kwangu na kukutanisha lips zetu.
Badae nilijistukia nikanyanyuka kwa wazo la kuondoka,ila alinivuta mkono nakunisukumizia kwenye sofa alaf akafunga mlango na funguo. Siwezi sema alinizidi nguvu,ila katika mazingira yale sehemu kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsupport yule dada. Nikajikuta tayari kwenye himaya yake. Japo badae nilijilaumu na siku hizi najitahidi kuepuka mazungumzo na watu wa hivi katika mazingira private au kama yale.
Je kwa upande wako ilikuwaje??
Karibuni.
Wasalaam wana jamvi.
Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa wanalifurahia japokuwa mara nyingi huwa kunasababu inayopelekea kufikia huko.
Katika njia ya kujua chanzo cha ili tatizo ningependa kusikia confessions za members,ilikuwaje ukaingia kwenye huo mtego??
Nikianza na mimi. Nakumbuka siku hiyo nilipokea text ya tafadhali nipigie katika simu yangu toka kwa mke wa jirani yangu. Nilipompigia alitaka kujua nipo wapi alafu akaniambia kama naweza nifike kwake mara moja.
Baada ya mishe zangu niliweza kufika bila wasiwasi maana tumezoeana kimtindo. Kufika,nilikaribishwa sebleni then zikaanza story za hapa na pale,mwisho wa siku akaanza kunisimulia juu juu matatizo aliyokuwa nayo but akawa anaficha some details (sikuuliza sana maana nilihisi hakuwa comfortable kuyaelezea).
Tulizungumza kwa muda mrefu kidogo nikijaribu kumtia moyo kwa kadiri nilivyoweza,ila nilikuja kugundua katika maongezi yetu alikuwa anapenda ya'base' eneo flan huku mda wote macho akiniangalia usoni. Ukizingatia tulikuwa wawili tu,nilimsogelea kujaribu kama namkiss ila kabla sijamfikia tayari alishafika kwangu na kukutanisha lips zetu.
Badae nilijistukia nikanyanyuka kwa wazo la kuondoka,ila alinivuta mkono nakunisukumizia kwenye sofa alaf akafunga mlango na funguo. Siwezi sema alinizidi nguvu,ila katika mazingira yale sehemu kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsupport yule dada. Nikajikuta tayari kwenye himaya yake. Japo badae nilijilaumu na siku hizi najitahidi kuepuka mazungumzo na watu wa hivi katika mazingira private au kama yale.
Je kwa upande wako ilikuwaje??
Karibuni.
Find a way to forgive yourself....Kuna jambo nilifanya wakati wa ujana wangu kusema ukweli huwa sipendi akili yangu iliwaze maaan huwa moyo wangu unauma sana kwa majuto.
Na nimekuja gundua kwamba wanawake walio katika ndoa ndio wanajipeleka kwa vijana wa kiume kukiko vijana kwatafuta hao vijana.
Mini ni mmoja kati ya vijana wa zamani niliokumbwa na mikasa hiyo.
Yarabi nisamehe mja wako yakafutwe matendi yangu maovu ya siku za ujana wangu maana we ni mwingi wa rehema
Mkuu chunga sana,hao jamaa wanakuwaga na wivu sana alafu hawaongei sana wao ni vitendo tu.Nilikuwa Na Mpenzi Wa Muda Mrefu Sana Kutokana Na Mahangaiko Ya Dunia Akaja Kuolewa Lakini Hatua Zote Alikuwa Ananifahamisha Sasa Nilpoweka Makazi Ya Kudumu Akawa Anataka Kuja Kunitembelea Nami Sijaoa Nikajaribu Kumkwepa Siku Hiyo Anapiga Simu Kuwa Atakuja Nikapuuza Akanitumia Sms Nipo Hapa Stendi Ongea Na Bodaboda Muelekeze Anilete Muda Huo Kama Saa 4 Usiku, Dah Nilichoka Bahati Nilikuwa Mitaa Ileile Nikamfuata Nikawa Namsomesha Nimkodie Taxi Arudi Akagoma Kwa Kuwa Alimuaga Mr Wake Kuwa Anaenda Harusini Hatorudi Alipofika Kwenye Harusi Wakafanya Maujanja Na Shosti Yake Akaja Kwangu Daaah Sikuwa Na Namna Tukafika Gheto Kwa Kweli Ulikuwa "MKESHA WA XMASS" Ila Baadae Nilijutia Sana Nimempiga Mkwara Atulie Na Mr Wake,isitoshe Mr Wake Ni Ustaadh Naogopa Kusomewa Al-Badil Sasa Hivi Sitaki [HASHTAG]#MAZOEA[/HASHTAG] Naomba MUNGU Anisaidie Nisirudie Kutembea Na Mke Wa Mtu [HASHTAG]#SUMU[/HASHTAG]
sure!Mkuu malalamiko yapo,na sababu ni nyingi mno,ukiangalia kwa makini utagundua wanawake wanasema wanaume ndio chanzo,na wanaume wanasema wanawake ndio chanzo,ni mwendo wa lawama na kukomoana,ukiacha tamaa ya mwili na fedha,marafiki na baadhi ya ndugu wanachangia mno...pia mazingira ya kikazi na pia tabia husika ya mtu ni vitu vinavyotajwa mno,ni kwamba kwa familia ya leo,katika kila famila 10 labda ni moja tu au hamna kabisa ambayo mtu hachepuki,na hii inachangiwa na maendeleo ya technolojia yanayokua kwa kasi mno,na pia kupungua kwa maadili na kupungua kwa upendo kwenye nyumba zetu...ukiwa na hela,uwe mwanamke au mwanaume,ni ngumu mno kumkosa unaemtaka,hata awe mke au mume wa kiongozi wa dini,cha msingi dau lako lifike pale pale anapopataka.....
Amiiin yaa rabbil aalamiiyn!!!Sijawah saliti ndoa yangu tangu kuolewa kwangu na haitotokea abadan Yarab mwenyezi Mungu nisimamie ktk hili