Huu uandishi una tatizo gani?? The concept is simple i was extraordinary and our Teachers hawataki kuwa ChallengedKwa uandishi wako huu atakama Mimi ningekuwa Mwalimu wako ningekunyoosha, nidhamu yako ni ndogo na unajifanya unajua kumbe mbele za watu ni empty headed na ujalitambua hilo.
Mkuu form two? anaweza kuandika hivii? hujui hata kufanya Prediction rahisi kama hii?..mtoa mada usikute uneshapewa suspension ndiyo unaitumikia sasa ndiyo maana unawachukia walimu, hakika wewe ni mwanafunzi tena form II hivyo usituchore,haiwezekeni kwa post yako kweli kama umehitimu na kufaulu alafu ukayaandika haya kwa waliokutoa upumbavu na ujinga!!!
Waalimu hamtaki kuwa challengedWaalimu hawapendi slow learner na wakorofi hata mara moja.
Soma neno kwa meno utagundua Waalimu walikuwa wanamwambia utafeli.
Sababu kuna kitu hakikuwa sawa.
Kwanini madam alikuwa anamtetea?....
Kuna kitu kimejificha...huwezi kutetea kama huna makosa
Waambie Hawa Jamaa asee.....i don hate their Field ila wao.....yaani waalimu wengi wa Kibongo ni Mzigoo.....Wengi walifelii wakaona ualimu ndio OptionHauko peke ako,,mimi pia niliwachukia,,mpaka sasa walimu sijui nawaonaje,,na walinitabiria ku fail ila nilifanya vizuri
Mkuu tatizo ukifunguka wanakuja juu sana kubishana na ukweli,,,most of them (ninao wajua mimi) wanajiona wanajua wakati hamna kitu,walikua wakiniambia kuhusu kutofanikiwa kimaisha but nilivokua nikiwaona mimi hawakua na mafanikio mpaka leoWaambie Hawa Jamaa asee.....i don hate their Field ila wao.....yaani waalimu wengi wa Kibongo ni Mzigoo.....Wengi walifelii wakaona ualimu ndio Option
wao wamekwambia wanakupenda?To be Honest i hate teachers labda ni Madam Mmoja Pekee aliyenifundisha shule Moja ya secondary Huko Moshi nilikuwa Nampenda.....Alinitetea na kunijali katika kila hali hata katika ofisi ya Nidhamu alionesha kunitetea (Mungu awabariki walimu kama hawa).
Kwangu mimi hakuwa Mwalimu yule madam.....Nilimchukulia Kama Mama.....Madam Fulani Mwenyezi Mungu Akutie Nguvu na akunyunyizie baraka zake popote ulipo.....Wewe ni Mama yangu tu.
Ila wengine wote waliobaki... kazi nzuri waliyofanya kwangu labda ni kunisahihishia mitihani yangu na kuniandika Jina katika school attendances zote na pia kutuma jina Necta.....ila katika Mafanikio yangu i wouldnt mention any Teacher!
Wengi waliniombea kufeli but it never happened nafikiri walitaka watu kama kina sisi tufeli wapate pa kutolea mf sunaona Fulani alifelii!
Nimeenda kuchukua vyeti vyangu O-level na Adv sikuwa na story na Teacher nikisemeshwa napigaa daash.....shida nyingi nilizopata katika Maisha yangu ya shule walimu walisababisha kwa kiasi kikubwa......sometimes wanaadhibu as if they have no kids!...
I HATE TEACHERS SINCE PRIMARY SCHOOL!
Mwl hawezi kua kilaza labda wewe ndo uwe kilaza, binafsi I love my teacher they used to insist me to study hard for best futureMkuu tatizo ukifunguka wanakuja juu sana kubishana na ukweli,,,most of them (ninao wajua mimi) wanajiona wanajua wakati hamna kitu,walikua wakiniambia kuhusu kutofanikiwa kimaisha but nilivokua nikiwaona mimi hawakua na mafanikio mpaka leo
Huwa tunafikiria ule msemo wa kiungo klicho adhirika na kansa hukatwa ili kufanya mwili unaobak kua salama!!hivi mnafaidika nini mnapomfukuza mtu shule? tena hata Necta asifanye
Malezi yako ndo hovyooo kabsaa ,,,ww unafaaa kua mfugwa ...ili uliyumikie TAIFANitasema nini kama uwezo wako wa kufikiri ni Mdogo kiasi Hiki?
Mm mwenywe pia kwa Kwel cjawai kuona aiseee kabsaaaKuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita nimesoma boarding. Lakin sikuwahi kuona mwalimu from no where anamchukia mwanafunzi.
you hate teachers??To be Honest i hate teachers labda ni Madam Mmoja Pekee aliyenifundisha shule Moja ya secondary Huko Moshi nilikuwa Nampenda.....Alinitetea na kunijali katika kila hali hata katika ofisi ya Nidhamu alionesha kunitetea (Mungu awabariki walimu kama hawa).
Kwangu mimi hakuwa Mwalimu yule madam.....Nilimchukulia Kama Mama.....Madam Fulani Mwenyezi Mungu Akutie Nguvu na akunyunyizie baraka zake popote ulipo.....Wewe ni Mama yangu tu.
Ila wengine wote waliobaki... kazi nzuri waliyofanya kwangu labda ni kunisahihishia mitihani yangu na kuniandika Jina katika school attendances zote na pia kutuma jina Necta.....ila katika Mafanikio yangu i wouldnt mention any Teacher!
Wengi waliniombea kufeli but it never happened nafikiri walitaka watu kama kina sisi tufeli wapate pa kutolea mf sunaona Fulani alifelii!
Nimeenda kuchukua vyeti vyangu O-level na Adv sikuwa na story na Teacher nikisemeshwa napigaa daash.....shida nyingi nilizopata katika Maisha yangu ya shule walimu walisababisha kwa kiasi kikubwa......sometimes wanaadhibu as if they have no kids!...
I HATE TEACHERS SINCE PRIMARY SCHOOL!
Mkuu upo kama mm, kuna siku nilichapwa sana lkn ndio ilikuwa njia moja wapo ya kunifukisha hapaNawashukuru Sana waalimu
Wang wa primary kama co
Viboko vyao leo cjui ngekua wap
Popote mlipo waalimu wang
Mlinichapa sana lkn ndo mliniokoa mbarikiewe sana
Mwl:
Fokas, mathematics, science
Tambalu, English
Mhando , kiswahili
Mkakanze stad za kaz maarifa ya jamii
Kwalamahondo primary school
To be Honest i hate teachers labda ni Madam Mmoja Pekee aliyenifundisha shule Moja ya secondary Huko Moshi nilikuwa Nampenda.....Alinitetea na kunijali katika kila hali hata katika ofisi ya Nidhamu alionesha kunitetea (Mungu awabariki walimu kama hawa).
Kwangu mimi hakuwa Mwalimu yule madam.....Nilimchukulia Kama Mama.....Madam Fulani Mwenyezi Mungu Akutie Nguvu na akunyunyizie baraka zake popote ulipo.....Wewe ni Mama yangu tu.
Ila wengine wote waliobaki... kazi nzuri waliyofanya kwangu labda ni kunisahihishia mitihani yangu na kuniandika Jina katika school attendances zote na pia kutuma jina Necta.....ila katika Mafanikio yangu i wouldnt mention any Teacher!
Wengi waliniombea kufeli but it never happened nafikiri walitaka watu kama kina sisi tufeli wapate pa kutolea mf sunaona Fulani alifelii!
Nimeenda kuchukua vyeti vyangu O-level na Adv sikuwa na story na Teacher nikisemeshwa napigaa daash.....shida nyingi nilizopata katika Maisha yangu ya shule walimu walisababisha kwa kiasi kikubwa......sometimes wanaadhibu as if they have no kids!...
I HATE TEACHERS SINCE PRIMARY SCHOOL!
Ya Joseverest sio? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimewahi siti