Confession: Kiukweli mawachukia walimu

Kuna mwalimu mjeshi flani wa makongo aliniambia nitafeli kwa div0 form four,, ila nilikuja kumprove wrong kabsa
Popote ulipo luteni Mussa agiza bia ntalipa
 
Asante Mugare kwa ushauri.

Ila nkimuona mwanao analeta utukutu shulen lazima nmlambe bakora.
 
ahahahaha bless boy
 
Wewe ndo mpumbavu fist class. Mwalimu ndo kakufikisha hapo ulipo. Ujinga na upumbavu wako wa kutofuata kile walimu wanakwambia ndo umekufikisha hapo ulipo. Hayupo mwalimu duniani anayeombea mwanafunzi flani afeli, furaha ya mwalimu ni kuona wanafunzi wote wamefaulu. Usipojiweza darasana lazima uchukie tu mwalimu. Na jinsi ulivyo mpumbavu unaprovock kwenye social media hujui kuwa humu tupo walimu pia. Japo wengine tunafundisha vyuo lakini ni walimu pia. So shut up your trap and learn to respect your teachers
 
Kama Mwl wa chuo upo hivi wanafunzi wakoje??? hahahahaa mwl anajiita JINI KISIRANI
 
Inaelekea ulikuwa mvuta bangi enzi za shule yako hadi sasa.WALIMU WENGI HAWAWAPENDI WANAFUNZI WAVUTA BAÑGI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…