Confession: Kiukweli mawachukia walimu

Confession: Kiukweli mawachukia walimu

you never understand what meaning this content has.....i hate them
Ngoja nikusaidie kijana, you don't hate teachers, you just hate how some of those teachers treated you, that's all acha kuzunguka get ur point straight, by the way ushakubali kabisa kuwa walimu wazuri pia wapo
 
To be Honest i hate teachers labda ni Madam Mmoja Pekee aliyenifundisha shule Moja ya secondary Huko Moshi nilikuwa Nampenda.....Alinitetea na kunijali katika kila hali hata katika ofisi ya Nidhamu alionesha kunitetea (Mungu awabariki walimu kama hawa).

Kwangu mimi hakuwa Mwalimu yule madam.....Nilimchukulia Kama Mama.....Madam Fulani Mwenyezi Mungu Akutie Nguvu na akunyunyizie baraka zake popote ulipo.....Wewe ni Mama yangu tu.

Ila wengine wote waliobaki... kazi nzuri waliyofanya kwangu labda ni kunisahihishia mitihani yangu na kuniandika Jina katika school attendances zote na pia kutuma jina Necta.....ila katika Mafanikio yangu i wouldnt mention any Teacher!

Wengi waliniombea kufeli but it never happened nafikiri walitaka watu kama kina sisi tufeli wapate pa kutolea mf sunaona Fulani alifelii!

Nimeenda kuchukua vyeti vyangu O-level na Adv sikuwa na story na Teacher nikisemeshwa napigaa daash.....shida nyingi nilizopata katika Maisha yangu ya shule walimu walisababisha kwa kiasi kikubwa......sometimes wanaadhibu as if they have no kids!...

I HATE TEACHERS SINCE PRIMARY SCHOOL!

UMEFIKIA LEVEL GANI? BILA HAO WALIMU UNAOSEMA:

- Usingeweza kuja kupost hapa.
- Hizi paragraphy zingekushinda.
- Bado ungekuwa kijijini kwenu KOLOMOJE
 
Mpaka sasa hivi nimeshajua ulikuwa mtu wa aina gani
 
Ni kwelii But.....Najua mimi Ningekuwa kilaza Ma Teacher shule wangenifukuza kabisaa sema ndo ivo nilikuwa natetea shulee!
Kwakuwa walijua akili za darasani unazo,ndio maana walikusakama ili wasikupoteze japo ulikuwa kero kwao.Walimu na waheshimiwe popote walipo!!
 
Waambie Hawa Jamaa asee.....i don hate their Field ila wao.....yaani waalimu wengi wa Kibongo ni Mzigoo.....Wengi walifelii wakaona ualimu ndio Option
Walifelii lakini leo Ndo wamekufikisha hapooo...stupidy...
 
Ngoja nikusaidie kijana, you don't hate teachers, you just hate how some of those teachers treated you, that's all acha kuzunguka get ur point straight, by the way ushakubali kabisa kuwa walimu wazuri pia wapo
Ahahahahaa sawaa boss una umakini
 
Kwakuwa walijua akili za darasani unazo,ndio maana walikusakama ili wasikupoteze japo ulikuwa kero kwao.Walimu na waheshimiwe popote walipo!!
wanataka waonekane wanajua
 
Walimu wengi hawako friendly,wengi wako hash sana sijui kwann ila sio wote.
 
Jirani yako akija na mgeni jitahidi umshike mkono kabla hajaenda msalani.
 
Upo kama mimi

Mimi siwachukii walimu ila hawajahi kuwa na mchango katika ufaulu wangu wa mitihani....... mwalimu pekee ninayemshukuru ni yule aliyenifundisha kusoma na kuandika darasa la vidudu pamoja na darasa la kwanza
 
Back
Top Bottom