Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #181
Ushirikina ni tofauti na ujambazi si kila kitu ni yabisi na kuna vingine havitupiki havichomekiHapo uliposema.umegawa vifaa vya kazi ndo unanipa ukakasi kiongozi.. Yaan ni sawa uamue kuacha ujambaz then ugawe zana za ujambaz kwa jambazi mwingine aendeleze ujambazi
Si ungetupa na kuchoma.vyote mkuu .... Huwez kuacha uovu kwa kuhamisha kuupeleka kwa mwingine aendelee...