Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

Ushirikina ni tofauti na ujambazi si kila kitu ni yabisi na kuna vingine havitupiki havichomeki
 
Nakushauri jishike na Yesu Kristo na uwe serious na jambo hilo la sivyo hukawii kutoweka ulimwengu huu na kwenda kutumikishwa kwenye mashimo ya uharibifu!
 
Asomae na aelewe maandiko haya yani ukorudi huko ni kama kikirudia kifo soma sana Biblia fanya maombi ya kufunga hyo hali itaondoka chonde usirudi nyuma
 
Hahahahaha haka kajamaa bane me ni mdau mkubwa wa thread zake but sijawahi kukaamini. Huwa nachukulia mizengwe2. (Sorry kutuamia kiambishi "ka")
 
Hahahahaha haka kajamaa bane me ni mdau mkubwa wa thread zake but sijawahi kukaamini. Huwa nachukulia mizengwe2. (Sorry kutuamia kiambishi "ka")
Sio kosa lako ni tatizo la kisaikolojia.. Kuna baadhi hupenda kuwaita wazazi wao 'haka kazee...'!
 
Mimi nakushauri kuwa ukiona hiyo hali inakujia ya kuoenda kurudi uliko toka penda kufanya mambo yafuatayo.
1.Sikiliza sana nyimbo za kuabudu /tenzi hizo hushusha uwepo wa Mungu na nguvu zake hukujilia kwa upya.

2.Soma sana Biblia humo utapata ushindi wa kila jambo.

3.Naamini una Roho Mtakatifu mshirikishe huyo kabla hujafanya maamuzi
 
Nyama ya binadam ni tamu sana ndo maana tunakazwa tusionje, hata Simba huko porin akionja nyama ya binadam huwa anatafutwa Hadi auwawe hata wawe Simba 10 Ni lazma wauwawe ukionja nyama ya binadam huwez kuacha.
Hapa Mnamaanisha Kula Nyama Kabisa? Au Limekaa Kimafumbo hili Jambo la Kula Nyama Ya Mtu
 
@Mshana Jr Chukua Huu Ushauri mkuu. Naamini upo katika Kusaidia watu waepukane na Wajikinge na Ulozi na Ushirikina

Wachawi,Majini,Mashetani Ni Vitu Vibaya Hasa Vikishampa Mtu. Nikuombe Usirudi huko ila Jikite katika kutoa Elimu ya Kuwaepusha Watu na Wabaya Hao na Watumie Nini ili Kujikinga Navyo pamoja Na Nguvu za Mungu Muumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…