Wewe muhusi siwezi kukusaidia umtese Dina wa watu mzuri[emoji1787]Mkuu mshana unaona hii komenti naomba umroge huyu dada anipende afe aoze yani mroge arogeke mpk akiniona kila muda apate kimuhemuhe.
Ataamini tu nikishampa mimba..[emoji16]
Hhha pole sanaDah ... Dinah This is confession. Tatizo sina sura ya kilozi[emoji31]
Asante mshana anataka kuniua huyoWewe muhusi siwezi kukusaidia umtese Dina wa watu mzuri[emoji1787]
Ona huyuu π mshana hawezi nifanyia hayoMkuu mshana unaona hii komenti naomba umroge huyu dada anipende afe aoze yani mroge arogeke mpk akiniona kila muda apate kimuhemuhe.
Ataamini tu nikishampa mimba..π
Ni katika kutaka aamini uchawi just to show her! Mi sitamtesa we fanya maruhani tu ajionee dunia.. hukusikia Yale maneno ya abishae hufunguliwa..? Tumfungue Sasa..πWewe muhusi siwezi kukusaidia umtese Dina wa watu mzuri[emoji1787]
Asantee mshanaNitakulinda kwa gharama zote halafu bure kabisa usijali Dinah
The Monk wewe ni rafiki mwema.. Na leo umenifaa sana[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Achana na mimiNi katika kutaka aamini uchawi just to show her! Mi sitamtesa we fanya maruhani tu ajionee dunia.. hukusikia Yale maneno ya abishae hufunguliwa..? Tumfungue Sasa..π
Kama yesu aliuzwa wewe nani usiuzwe..? Unaujua mlungula wewe tulia dawa yaja yani utadataπOna huyuu π mshana hawezi nifanyia hayo
Mi sikushiki iambie mizimu ikuachie..πAchana na mimi
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] Neno hili likawe manukato na kufanyika baraka kwetu sote kwa waamini na wasioamini[emoji1545][emoji1545][emoji1545]We are brothers Chief, but we are human being as well. No one is exceptional when it comes to temptation and challenges.
Kutoka 14:14
BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
πWewe ni rafiki mwema
Hata kama we fanya kwere tu mizimu haishindwi uma ndimu tu tumkoleze huyu..πUmeharibu sasa kuja upenuni[emoji3]