Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kiukweli haya ni mambo ambayo hatuwezi yaweka hadharani maana ni kufru lakini kwa hapa jamiiforums hakuna anaemjua mwenzake kuna privacy hivyo uhuru wa kutiririka siro zetu upo.

Niliwahi kuwa na feelings na mtoto wa mamamdogo wangu ambae niliishi nae miezi miwili akiwa likizo ya form 6 anasubiri kwend chuo, mwanzoni nilikuwa napingana sana na hizo feelings zisinitawale akilini lakini ilikuwa ni ngumu sana kuzuzuia, nilikuwa nina girlfriend (demu) lakini hii nguvu ya kuanza kuvutiwa na ndugu sijui ilitokea wapi.

Nilianza kumpenda sana, tulikuwa tumezoeana sana kama ndugu tu lakini shida ikawa inakuja kwenye uzito wa kumpa live mbele yake kwamba nimemzimia, tuliwahi kucheza sana utotoni kwahio tulikuja kutana tena ukubwani.

Nilianza hadi kumuwaza mara kwa mara na kum fantacize kimapenzi, moyo wa kutaka kumfungukia ukawa unanipa msukumo mkubwa sana nimwambie ukweli nami nikaanza kujiamini kwamba hakuna linaloshindikana, kilichopo moyoni kinanitesa kwanini nikishikilie sana, mda huo yani sijali cha tamaduni wala undugu nipo full mkoko kutaka kumwambia ukweli. ila kiukweli kila nikitaka kumwambia moyo unasita.

Tulikuwaga na michezo ya kugombania rimoti, kugombaniana kochi, n.k nilianza kuianzisha maksudi mara kwa mara ili niwe naitumia kumtomasa na kumsika, kuna kipindi hata akitok kidogo tu na akifika namkumbatia kwamba nimekumisi dada yangu umefika salama lakini kiukweli nilikuwa namkumbatia kwa hisia za kimapenzi, sijui kama aliwahi kujua hili.

Miezi miwili ya likizo yake aliyoka nyumbani kwetu iliisha akaondoka kwenda kuanza masomo, nashukuru nilichotaka hakikufanikiwa, kingekua ni doa kubwa sana huku maisha ya ukubwani
 
Kiukweli haya ni mambo ambayo hatuwezi yaweka hadharani maana ni kufru lakini kwa hapa jamiiforums hakuna anaemjua mwenzake kuna privacy hivyo uhuru wa kutiririka siro zetu upo.

Mimi niliwahi kuwa na feelings na mtoto wa mamamdogo wangu ambae niliishi nae miezi miwili akiwa likizo ya form 6 anasubiri kwend chuo, mwanzoni nilikuwa napingana sana na hizo feelings zisinitawale akilini lakini ilikuwa ni ngumu sana kuzuzuia.

Nilianza kumpenda sana, tulikuwa tumezoeana sana kama ndugu tu lakini shida ikawa inakuja kwenye uzito wa kumpa live mbele yake kwamba nimemzimia, tuliwahi kucheza sana utotoni kwahio tulikuja kutana tena ukubwani.

Nilianza hadi kumuwaza mara kwa mara na kum fantacize kimapenzi, moyo wa kutaka kumfungukia ukawa unanipa msukumo mkubwa sana nimwambie ukweli nami nikaanza kujiamini kwamba hakuna linaloshindikana, kilichopo moyoni kinanitesa kwanini nikishikilie sana, mda huo yani sijali cha tamaduni wala undugu nipo full mkoko kutaka kumwambia ukweli. ila kiukweli kila nikitaka kumwambia moyo unasita.

Tulikuwa na michezo ya kugombania rimoti, kugombaniana siti, n.k nilianza kuianzisha maksudi ili niwe naitumia kumgusa gusa na kumkumbatia.

Siku ilifika akaondoka kwenda kuanza chuo ndio tukawa mbali nikaja kupata dem ndi9 haya mawazo yakaniisha, lakini najua angeendelea kubaki lolote lingetokea.

Nashukuru nilichotaka hakikufanikiwa, kingekua ni doa kubwa sana huku maisha ya ukubwani

Madhara ya kusoma Uboys....kama sio uboyzn ni madhara ya kua Domo zege ,kama sio Domo zege ni madhara ya kutojishugulisha na kazi Wala mazoez kiasi kwamba unachowaza ni Ngono tu, kama sio Hilo basi ni sababu VIJANA SIKU HIZI MNAVUTA BANGI KIASI KWAMBA ,DADA YAKO UNAMUONA PISI KALI.
 
Kiukweli haya ni mambo ambayo hatuwezi yaweka hadharani maana ni kufru lakini kwa hapa jamiiforums hakuna anaemjua mwenzake kuna privacy hivyo uhuru wa kutiririka siro zetu upo.

Mimi niliwahi kuwa na feelings na mtoto wa mamamdogo wangu ambae niliishi nae miezi miwili akiwa likizo ya form 6 anasubiri kwend chuo, mwanzoni nilikuwa napingana sana na hizo feelings zisinitawale akilini lakini ilikuwa ni ngumu sana kuzuzuia.

Nilianza kumpenda sana, tulikuwa tumezoeana sana kama ndugu tu lakini shida ikawa inakuja kwenye uzito wa kumpa live mbele yake kwamba nimemzimia, tuliwahi kucheza sana utotoni kwahio tulikuja kutana tena ukubwani.

Nilianza hadi kumuwaza mara kwa mara na kum fantacize kimapenzi, moyo wa kutaka kumfungukia ukawa unanipa msukumo mkubwa sana nimwambie ukweli nami nikaanza kujiamini kwamba hakuna linaloshindikana, kilichopo moyoni kinanitesa kwanini nikishikilie sana, mda huo yani sijali cha tamaduni wala undugu nipo full mkoko kutaka kumwambia ukweli. ila kiukweli kila nikitaka kumwambia moyo unasita.

Tulikuwa na michezo ya kugombania rimoti, kugombaniana siti, n.k nilianza kuianzisha maksudi ili niwe naitumia kumgusa gusa na kumkumbatia.

Siku ilifika akaondoka kwenda kuanza chuo ndio tukawa mbali na ndio ikawa ponea yangu

Nashukuru nilichotaka hakikufanikiwa, kingekua ni doa kubwa sana huku maisha ya ukubwani
Maswali kama haya ndiyo kesho yanaleta nyuzi "Tanzania ni ya pili barani Afrika kwa ndugu kutamaniana kimapenzi"
 
Madhara ya kusoma Uboys....kama sio uboyzn ni madhara ya kua Domo zege ,kama sio Domo zege ni madhara ya kutojishugulisha na kazi Wala mazoez kiasi kwamba unachowaza ni Ngono tu, kama sio Hilo basi ni sababu VIJANA SIKU HIZI MNAVUTA BANGI KIASI KWAMBA ,DADA YAKO UNAMUONA PISI KALI.
Aah bingwa, sasa ganja inaingiaje hapa?
 
Ndio maana huwa sipogi comfortable na mwanamke anaenambia ana ukaribu sana na binamu yake wa kiume aiseee huwa namhoji maswali ya kiintelijensia sana kubaini kama kuna lolote.

Mabinamu hawa wa kiume ukisikiliza story zao za ukaribu kwa watoto wa kike wa ndugu zao utagundua kuna mengi huwa yanatokea nyuma ya pazia. Kushikana, kutomasana na kufanyiana mambo ambayo si kawaida kwa ndugu kufanyiana na mwisho wa siku sasa ni kuharibu kabisa.

So ukaribu uwe ni wa kawaida ila usiwe ule wa sana maan huwa hauna matokeo mazuri.
 
Back
Top Bottom