Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

Tumeamua kushirikishana dhambi kwa uwazi kabisa
Mimi hii level sijafika kabisa hiv japo nimeishi na dada zangu na ndugu wa kike wengi lakini sijawahi kufikiria Huu upuuzi
 
Kiukweli haya ni mambo ambayo hatuwezi yaweka hadharani maana ni kufru lakini kwa hapa jamiiforums hakuna anaemjua mwenzake kuna privacy hivyo uhuru wa kutiririka siro zetu upo.

niliwahi kuwa na feelings na mtoto wa mamamdogo wangu ambae niliishi nae miezi miwili akiwa likizo ya form 6 anasubiri kwend chuo, mwanzoni nilikuwa napingana sana na hizo feelings zisinitawale akilini lakini ilikuwa ni ngumu sana kuzuzuia, nilikuwa nina girlfriend (demu) lakini hii nguvu ya kuanza kuvutiwa na ndugu sijui ilitokea wapi.

Nilianza kumpenda sana, tulikuwa tumezoeana sana kama ndugu tu lakini shida ikawa inakuja kwenye uzito wa kumpa live mbele yake kwamba nimemzimia, tuliwahi kucheza sana utotoni kwahio tulikuja kutana tena ukubwani.

Nilianza hadi kumuwaza mara kwa mara na kum fantacize kimapenzi, moyo wa kutaka kumfungukia ukawa unanipa msukumo mkubwa sana nimwambie ukweli nami nikaanza kujiamini kwamba hakuna linaloshindikana, kilichopo moyoni kinanitesa kwanini nikishikilie sana, mda huo yani sijali cha tamaduni wala undugu nipo full mkoko kutaka kumwambia ukweli. ila kiukweli kila nikitaka kumwambia moyo unasita.

Tulikuwaga na michezo ya kugombania rimoti, kugombaniana kochi, n.k nilianza kuianzisha maksudi mara kwa mara ili niwe naitumia kumtomasa na kumsika, kuna kipindi hata akitok kidogo tu na akifika namkumbatia kwamba nimekumisi dada yangu umefika salama lakini kiukweli nilikuwa namkumbatia kwa hisia za kimapenzi, sijui kama aliwahi kujua hili.

Miezi miwili ya likizo yake aliyoka nyumbani kwetu iliisha akaondoka kwenda kuanza masomo, nashukuru nilichotaka hakikufanikiwa, kingekua ni doa kubwa sana huku maisha ya ukubwani
Nilipata hisia kali sana za mvuto kwa binamu yangu na sikusita nikamueleza kinaganaga alipokuja likizo

Ilikuwa tabu kidogo kunielewa lakini nilifanikiwa kumshawishi na nikagundua ana mapenzi mazito sana na mimi, alinambia ”nimekuchagua uwe wangu peke yangu”

Kiukweli tuliinjoi sana huba, nampenda sana my cousin nae hajiwezi kwangu na Mungu akipenda nitamuoa!
 
Na wanawake wote waliojaa mtaani,nguvu ya kumtamani ndugu yako inatoka wapi? Vijana na mabinti wangu wa sasa mnafeli wapi?
 
Kiukweli this is another level 😀
Mimi nilikuwa kauzu na domo zege si mchezo huo muda wa kumfikiria ndugu yangu napata wapi? Hata shuleni nimemaliza bila hata kutongoza mwanamke nimeanza kuwa na interest na wanawake ni 2018 rasmi
 
Usithubutu
Nakazia.
Vijana wana Nyege za hali ya Juu sana siku hizi,,,,Waume kwa wanawake...

Nadhani Misosi hii iangaliwe upya,,,Kutamani Ndugu ni hisia zinazo ambatana na Ukame(Ugwadu) wa 5G...
 
Nakazia.
Vijana wana Nyege za hali ya Juu sana siku hizi,,,,Waume kwa wanawake...

Nadhani Misosi hii iangaliwe upya,,,Kutamani Ndugu ni hisia zinazo ambatana na Ukame(Ugwadu) wa 5G...
Wanywe sana maji baridi huenda zikapoa
 
Binamu yangu na mtoto wa mama mdogo nahisi sababu ya utoto ndio maana sikujuwa kama ni ndugu
 
Back
Top Bottom