Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

Siku hizi watu wanafunguka tu.
 
Dah mimi nikikuwa napendwa sana na ndugu, kiasi kwamba nikawa nakwepa sana safari za kwenda kusalimiana kwa ndugu.
 
Kiukweli haya ni mambo ambayo hatuwezi yaweka hadharani maana ni kufru lakini kwa hapa jamiiforums hakuna anaemjua mwenzake kuna privacy hivyo uhuru wa kutiririka siro zetu upo.

Mimi niliwahi kuwa na feelings na mtoto wa mamamdogo wangu ambae niliishi nae miezi miwili akiwa likizo ya form 6 anasubiri kwend chuo, mwanzoni nilikuwa napingana sana na hizo feelings zisinitawale akilini lakini ilikuwa ni ngumu sana kuzuzuia.

Nilianza kumpenda sana, tulikuwa tumezoeana sana kama ndugu tu lakini shida ikawa inakuja kwenye uzito wa kumpa live mbele yake kwamba nimemzimia, tuliwahi kucheza sana utotoni kwahio tulikuja kutana tena ukubwani.

Nilianza hadi kumuwaza mara kwa mara na kum fantacize kimapenzi, moyo wa kutaka kumfungukia ukawa unanipa msukumo mkubwa sana nimwambie ukweli nami nikaanza kujiamini kwamba hakuna linaloshindikana, kilichopo moyoni kinanitesa kwanini nikishikilie sana, mda huo yani sijali cha tamaduni wala undugu nipo full mkoko kutaka kumwambia ukweli. ila kiukweli kila nikitaka kumwambia moyo unasita.

Tulikuwa na michezo ya kugombania rimoti, kugombaniana siti, n.k nilianza kuianzisha maksudi ili niwe naitumia kumgusa gusa na kumkumbatia.

Siku ilifika akaondoka kwenda kuanza chuo ndio tukawa mbali na ndio ikawa ponea yangu

Nashukuru nilichotaka hakikufanikiwa, kingekua ni doa kubwa sana huku maisha ya ukubwani
dunia ina mambo hii
 
Extra miles, Patra31 and Beesmom

ndiyo mama mkwe ako na mvuto balaa

nimekataa kuwa kaa nimeamua kukiri ...

mtu ambaye hajawahi kunivutia ni mwanaume mwenzangu + Mama yangu ...

pia napovutiwa na hai wengine huwa sisemi .... Nasema kimoyo moyo
 

Attachments

  • 1664607877271.gif
    1664607877271.gif
    42 bytes · Views: 13
  • 1664607877477.gif
    1664607877477.gif
    42 bytes · Views: 14
Mwanetu kaanza kwa kujificha na kujilinda asiulizwe kwa kusema kuwa alikuwa na demu .... Uongo.
Mwanetu ni member wa self services.
Hongera kwa ubunifu wa michezo Kaka
#PartialDecode
 
Mimi labda niwekewe bastola lakini kumtamani au kutembea na ndugu, shemeji, Mfanyakazi mwenzangu na mtu yeyote wa karibu na familia yangu au ya mume wangu ni never. Dunia ni kubwa sana.

Acha tu nifanye dhambi zingine ninazozimudu.
 
Mimi labda niwekewe bastola lakini kumtamani au kutembea na ndugu, shemeji, Mfanyakazi mwenzangu na mtu yeyote wa karibu na familia yangu au ya mume wangu ni never. Dunia ni kubwa sana.

Acha tu nifanye dhambi zingine ninazozimudu.
Hiyo ya kutembea na mfanyakazi mwenzako mbona ni la kawaida kwani wewe unaona ni ajabu au haiwezekani?
 
Back
Top Bottom