Confessions: Umewahi kupata hisia za kimapenzi ama kuwa katika mahusiano na ndugu yako?

Tumeamua kushirikishana dhambi kwa uwazi kabisa
Mimi hii level sijafika kabisa hiv japo nimeishi na dada zangu na ndugu wa kike wengi lakini sijawahi kufikiria Huu upuuzi
 
KILA SIKU NASEMA HI DUNIA YA SAIVI FIRAUNI AKISHUKA YEYE NDO ATASTAAJABU KWANZA ATACHUKUA MEZA NA NOTEBOOK AANZE KUCHUKUA NOTES
 
Nilipata hisia kali sana za mvuto kwa binamu yangu na sikusita nikamueleza kinaganaga alipokuja likizo

Ilikuwa tabu kidogo kunielewa lakini nilifanikiwa kumshawishi na nikagundua ana mapenzi mazito sana na mimi, alinambia ”nimekuchagua uwe wangu peke yangu”

Kiukweli tuliinjoi sana huba, nampenda sana my cousin nae hajiwezi kwangu na Mungu akipenda nitamuoa!
 
Na wanawake wote waliojaa mtaani,nguvu ya kumtamani ndugu yako inatoka wapi? Vijana na mabinti wangu wa sasa mnafeli wapi?
 
Kiukweli this is another level 😀
Mimi nilikuwa kauzu na domo zege si mchezo huo muda wa kumfikiria ndugu yangu napata wapi? Hata shuleni nimemaliza bila hata kutongoza mwanamke nimeanza kuwa na interest na wanawake ni 2018 rasmi
 
Usithubutu
Nakazia.
Vijana wana Nyege za hali ya Juu sana siku hizi,,,,Waume kwa wanawake...

Nadhani Misosi hii iangaliwe upya,,,Kutamani Ndugu ni hisia zinazo ambatana na Ukame(Ugwadu) wa 5G...
 
Nakazia.
Vijana wana Nyege za hali ya Juu sana siku hizi,,,,Waume kwa wanawake...

Nadhani Misosi hii iangaliwe upya,,,Kutamani Ndugu ni hisia zinazo ambatana na Ukame(Ugwadu) wa 5G...
Wanywe sana maji baridi huenda zikapoa
 
Binamu yangu na mtoto wa mama mdogo nahisi sababu ya utoto ndio maana sikujuwa kama ni ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…