Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ile ya zamani tu! Buku tatu tatu.Bei yake???
Jezi tunazidiwa hadi na coastal Union.Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba,haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
We sio mweupe kabisa unamatatizoJezi tunazidiwa hadi na coastal Union.
Mo tuachie Team yetu
Tafuta hela Kamanda ili ufaidi mema ya Nchi! Wenzako wanatafuna mpaka kuzalisha kabisa. Wewe unaishia tu kusifia.Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba,haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
jezi makini izo,izo jezi unachukulia mkopo bank na unapewa offa ya kupunguziwa riba.Jezi tunazidiwa hadi na coastal Union.
Mo tuachie Team yetu
Jezi kari wachezaji wakarijezi makini izo,izo jezi unachukulia mkopo bank na unapewa offa ya kupunguziwa riba.
Usinilazimishe kuyapenda matambala siwezi nunua nikiwa kama shabiki wa simbaWe sio mweupe kabisa unamatatizo
Tukiachana na jezi kali za mnyama Simba,haki ya Mungu Hamisa ni mkali huyu mtoto aisee.
Kama ni "kari," sawa ila sio kaliJezi kari wachezaji wakari