Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wera wera..leo ni kunywa "busa" kwenda mbele..chadema juu
Asma milah?<font face="Comic Sans MS"><font size="4"><font color="purple">CCM wanadaarama sana</font></font></font>
Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema ametangazwa mshindi sasa hivi.
Ubunge
CCM - 26,000+
CHADEMA - 41,000+
Udiwani
CCM - 4
CHADEMA -10
Urais
CCM - 24382
CHADEMA - 43297
barabara kuu iendayo Arusha imezibwa kwa umati wa watu wakiandama. Picha zitafuata punde.
Huyo hata CHADEMA nzima ingehamia asingepita! Sijui kwanini hata baada ya kukaa na Dr. kwa muda wote hajajifunza kuwa mstaarabu, ashiga ilowaslaa lakini tabia yako mmh nashindwa kukutetea ukijirekebisha 2015 ntakupigia kampeni ama vipi jiandae maana hilo jimbo 2015 lazima liende CHADEMA na usipojirudi then usahau habari ya kutuwakilisha.
mkubwa kweli nagu kapiga swaga hanang sijui wamechakachua au laahabari kama hizi tafadhali tutafutie taarifa zaidi kuthibitisha
nitakupasua!!!!!!!!!!!!!
usiniambie unafahamiana na shekhe Yahya...hapa nilipo natokea mto wa mbu, nipitie hapo nyumbani kilimatembo nibadili nguo maana nitakesha huko, then nisubiri Munuo au Kuringe hapa barabarani niwahi Karatu
nitakutafuta tunywe wote na kusheherekea pamoja
Yaani hadi hii wiki iishe au kufika ijumaa nitakuwa nimemaliza box zima la champagne na konyagi na valuu
Oryo Irqwar doren bura mawak mungu thufisak asma ccm agaslaxaan. ( wairaqw wenzangu acheni pombe kwa kuiangusha ccm)
Jamani vipi matokeo ya Jimbo la Hanang alikokuwa Mtalaka wa Dr Slaa??????
Taarifa kutoka karatu ni kwamba pastor israel ameshinda jimbo la karatu mjini
chadema - 46 000+
ccm - 20 000 +
Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema ametangazwa mshindi sasa hivi.
Ubunge
CCM - 26,000+
CHADEMA - 41,000+
Udiwani
CCM - 4
CHADEMA -10
Urais
CCM - 24382
CHADEMA - 43297
barabara kuu iendayo Arusha imezibwa kwa umati wa watu wakiandama. Picha zitafuata punde.
Mtalaka wa Dr. Slaa ameashindwa na Dr. Nagu, ila Halmashauri imenyakuliwa na CHADEMA.
CCM wana madiwani 12 kati ya kata 25.
Oryo Irqwar doren bura mawak mungu thufisak asma ccm agaslaxaan. ( wairaqw wenzangu acheni pombe kwa kuiangusha ccm)