Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
hahaha shunie aliniambia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwe unanimezesha mapoint tuu babake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaha shunie aliniambia
Washabikia omba omba fc
Nikajisemea mama ake hataki presha
ndio mana kaamua kukaa mbali.
Taifa stars tunaienda sana Dada!Taifa
Stars
oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkiwa mna hela mnajiita 'Dar young Africa'[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiite timu yangu omba omba!!
Ila sipendi fujo za ushabiki ndo maana huwa nakaa pembeni
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Naomba tufungwe magoli mengi!
Nitakununia ujueMkiwa mna hela mnajiita 'Dar young Africa'
Mkiwa hamna ni timu ya wananchi.
Mkikosa makombe mwajiita" mabingwa wa kihostoria"" haha ili mradi muwemo.
Mechi ikianza ntakuwa nakuita sana mama ake; utazoea mbona mdogo wako kaweza eti
hahaha sitaki nikose jiko mie yaishe;Nitakununia ujue
Amunike can never entertain a stupid idea.Nimeona hii habari ikiwa inatrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupostiwa na Azam Tv kule kwenye Instagram.
Kwa presha hii ya Makonda, Emanuel Amunike atakuwa ameingiliwa majukumu yake. Na ikitokea tumefungwa tusimlaumu kabisa.
Je hiko ndiko Makonda alichotumwa kwenda Misri? Je Makonda hapo ni kama nani kwenye benchi la ufundi? Amunike ana madhaifu yake lakini pia na sisi tuna yetu tu na makubwa sana. Halafu hii timu ikiitwa " Timu ya Taifa ya Awamu ya 5 " kuna watu mnachukia? Tusubirie dk 90.
View attachment 1140081
Timu ni ya serikali ya ccmBora angebaki tu kaenda kuharibu zaidi mara timu ya serikali mara ccm ndo inashinda ujinga mtupu
Taifa stars tunaienda sana Dada!
ila mambo kama hizi za kina bashite zinatuvunja moyo kushabikia, wameshindwa Fanya masiasa yao uko wenyewe, wa
nataka tuharibia na mpira sasa.
Juzi na mwakyembe et anawapangia TFF mwisho wachezaji 5 wakigeni chezea nchini
Wanasiasa bana
Ila uwe unaniita tuuhahaha sitaki nikose jiko mie yaishe;
Daud AlbertHuyo uliyemtaja mwanzoni ni nani?
Daud Albert
Asanteee mama ake!Ila uwe unaniita tuu
Nitavumilia
EwaaaaaAsanteee mama ake!
Ngoja nikupikie na uji wa ulezi hapa
Hii kitaalamu tunaita maendeleo haya vyama.