Confirmed: Kikosi cha leo kitapangwa kwa msukumo wa Makonda

Confirmed: Kikosi cha leo kitapangwa kwa msukumo wa Makonda

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwe unanimezesha mapoint tuu babake!
hahaha shunie aliniambia
Washabikia omba omba fc
Nikajisemea mama ake hataki presha
ndio mana kaamua kukaa mbali.
 
hahaha shunie aliniambia
Washabikia omba omba fc
Nikajisemea mama ake hataki presha
ndio mana kaamua kukaa mbali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiite timu yangu omba omba!!

Ila sipendi fujo za ushabiki ndo maana huwa nakaa pembeni
 
Taifa
Stars
oyeeeeeeeeeeeeeeeee

Taifa stars tunaienda sana Dada!
ila mambo kama hizi za kina bashite zinatuvunja moyo kushabikia, wameshindwa Fanya masiasa yao uko wenyewe, wa
nataka tuharibia na mpira sasa.

Juzi na mwakyembe et anawapangia TFF mwisho wachezaji 5 wakigeni chezea nchini

Wanasiasa bana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiite timu yangu omba omba!!

Ila sipendi fujo za ushabiki ndo maana huwa nakaa pembeni
Mkiwa mna hela mnajiita 'Dar young Africa'
Mkiwa hamna ni timu ya wananchi.

Mkikosa makombe mwajiita" mabingwa wa kihostoria"" haha ili mradi muwemo.

Mechi ikianza ntakuwa nakuita sana mama ake; utazoea mbona mdogo wako kaweza eti
 
Nimeona hii habari ikiwa inatrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupostiwa na Azam Tv kule kwenye Instagram.

Kwa presha hii ya Makonda, Emanuel Amunike atakuwa ameingiliwa majukumu yake. Na ikitokea tumefungwa tusimlaumu kabisa.

Je hiko ndiko Makonda alichotumwa kwenda Misri? Je Makonda hapo ni kama nani kwenye benchi la ufundi? Amunike ana madhaifu yake lakini pia na sisi tuna yetu tu na makubwa sana. Halafu hii timu ikiitwa " Timu ya Taifa ya Awamu ya 5 " kuna watu mnachukia? Tusubirie dk 90.


View attachment 1140081
Amunike can never entertain a stupid idea.
 
Taifa stars tunaienda sana Dada!
ila mambo kama hizi za kina bashite zinatuvunja moyo kushabikia, wameshindwa Fanya masiasa yao uko wenyewe, wa
nataka tuharibia na mpira sasa.

Juzi na mwakyembe et anawapangia TFF mwisho wachezaji 5 wakigeni chezea nchini

Wanasiasa bana

Huyo uliyemtaja mwanzoni ni nani?
 
Kweli watu mna uzalendo..mie ndo najua leo kuna ligi...heee...wanagombania kombe gan??mwee
 
Back
Top Bottom