Confirmed: Kikosi cha leo kitapangwa kwa msukumo wa Makonda

Tulivyopigwa mbili bila ni Makonda ndie alipanga kikosi, Amunike alikula rushwa, alipanga kikosi hovyo kabisa!
 
Waache siasa kwenye mpira, amuache kocha afanye kazi yake!
Ni kweli hii timu sasa iko kisiasa mika ya 2000 hatukuwa kisiasa timu ilikuwa bora sana kwenye AFCON[emoji16][emoji16]
 
Tz hatuna kikosi cha kumfunga Kenya may be a miracle to happen
 
Nani kakudanganya kuwa huyo ni mdada?
 
Huyo jamaa mwingine hapo katikati ni nani nae kocha au
 
Kikosi cha leo kwa taarifa yenu kilipangiwa magogoni na karatasi akaondoka nayo bashite. Amunike ni spika tu, maiki ipo magogoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…