Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku akienda Azam atasema hivyohivyoLeo kwenye kipindi cha sports HQ kinachorushwa na E-fm aliyewahi kuwa msemaji wa club ya simba 'simba sports club' Ndg. Haji Manara ameweka bayana kuwa hajawahi kuipenda club hiyo na hajawahi kuwa miongoni mwao. Kwa kinywa chake haji manara amesema "sijawahi kuwa simba"
Itakumbukwa kuwa ni wiki chache zimepita tangu msemaji huyo aaminishe mashabiki wa simba na watanzania kuwa aliipenda club hiyo kutoka moyoni na kuwa alijitolea kwa nguvu zake zote kwa jasho na damu kuipigania kufa na kupona hadi kufikia hapo ilipofikia.
Lakini kwa kauli yake aliyoitoa leo naungana na wana soccer wengine kuamini pasina shaka kwamba huyu bwana alikuwa yupo simba kwa kazi maalum ya kuhijumu na baada ya kushitukiwa na kutimuliwa ameamua kujitangaza hadaharani kwa kinywa chake mwenyewe.
Kufuatia kauli yake hiyo, mimi kama mdau wa soccer na mkereketwa wa dar es salaam young africans 'yanga' naishauri kuwa makini na huyu mtu kwa sababu 'what goes around is what comes around'. Kama mtu huyu huyu alitumiwa na wao kututukana na kutukejeli leo amewageuka wale wale waliomtuma na kumlipa kututukana basi ipo siku hata sisi atarudi tena kutugeuka na kututukana vile vile na hapo ndipo msemo wa "what goes around is what comes around" unapodhihirika. Tuwe makini na huyu walking bomb he can erupt anytime.
Anajiharibia future yake kwa bei chee sana..akitoka Uto sijui ataenda wapi... Manara atambue kuna keshoHuyu kawa chizi
Ndo changamoto wengi tunaiangalia leo kuliko kesho yetu...huu msimu sidhani kama ataumaliza yangaAnajiharibia future yake kwa bei chee sana..akitoka Uto sijui ataenda wapi... Manara atambue kuna kesho
Kwa akili zake mbovu najua ipo siku atanyea kambi na kuhamia timu nyingine na akifika huko atatusema kama alivyokuwa akitusema akiwa simba. Ngoja tuendelee kumchekea lakini ipo siku kiama kitatugeukia tena. Time will tellHajji Manara ni shabiki wa hela tu! Hata huku Yanga amekuja tu kutafuta hela. Hivyo tunatakiwa kuishi naye kwa akili. Maana ipo siku atatugeuka!
Adhabu ya Mungu kwa wanafiki huwa mbaya sana.Aisee huyu jamaa anapitia wakati mgumu sanaa
HahahahaaaaaaSpana za Haji haziwezi kuwaacha Makolokolo salama.
Hujawahi kuandika point we jamaa sijui akili yako unashikiliwa na nani.Adhabu ya Mungu kwa wanafiki huwa mbaya sana.
Wakati mgumu ni kwa nyie, lakini yeeye account yake inasoma ana wakati mgumu upi?mbona ktk maisha ni mambo ya kawaida tu, ni wanasiasa wangapi walitukana sana walipokuwa leo wako wapi?sembuse taaluma?Aisee huyu jamaa anapitia wakati mgumu sanaa
Ndio maana nimeshauri club yetu ya yanga iwe makini na huyu mtu. Wasimwamini sana na kuanza kumshirikisha kwenye vikao vya ndani vya klabu kwa sababu kwa hulka yake siku akitoka yanga ataropoka tu maana ndio asili yake na asili ni kama ngozi huwa haibadilikiSiku akienda Azam atasema hivyohivyo