Confirmed:> New love birds - Diamond and wWema Septu



....wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi wa chinichini kwa muda mrefu....Wema alionekana kuwa hoi kwa Kanumba huku kila wakati akimshikashika mabegani.... Wema alisema kwamba, hasikii wala haambiwi kwa Kanumba kwani mapenzi anayopata hawezi kuyapata kwa mwanaume mwingine.


alipotua eapoti akiliwa denda kavu kavu kudadadadeki..



huyu nae alimkoboa....

 


Yo Yo una visa utavunja ndoa za watu shauri lako.....ohhh....
 
mara tid, blue, kanumba, jumbe, chalz baba, diamond, etc,, eheee na wengine watafuata,,,,

Bado wa nyuma ya pazia!!!

Diamond ni mdogo sana kwa shakumpempe Wema...
 
Yo Yo una visa utavunja ndoa za watu shauri lako.....ohhh....
Dogo aende kwa babu wa Loliondo sio akapate kikombe tu bali akaogelee siku nzima kwenye pipa la maji ya kikombe cha babu,nahofia kunywa tu hayo maji ya kikombe itakuwa buure kabsa
 
 
Mhhh,kaka alamsi na tuzo hujapata mwaka huu,wema hakawii kukutema!
 
wema na diamond wote si watoto na naamini kila
mmoja wao anazo habari za mwenzake. sasa kama wameamua
kupendana waacheni wapendane na wakishindwana pia
waacheni washindwane. sisi tuwatakie heri tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…