nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
jesus never existed,wamisri walikuwa wanaongelea jua,sun god(ra),waliamini jua lilikuwa linasimama kwa siku tatu kuanzia around tarehe 22 december hadi 25 december...siku ya tatu walikuwa wana sema mungu sun god (ambayo wazungu walibadilisha na kuita son god) amefufuka...uzushi wa yesu kufa na kufufuka ni copy and paste ya imani ya ancient egypt