yesu hakuwahi kuwepo,it is a made up storyhata yesu alisheherekea pasaka
Nashindwa kuamini kabisa kuwa wewe ni mkristu.Wale wenye imani ya dini ya wakristo naomba mnisaidie vitabu vya dini vinatuambia yesu alikufa December ndo maana wakapanga maadhimisho ya kufa kwake.
Baada ya siku tatu alifufuka na kurejea mbinguni maana yake siku tatu baada ya Christmas ni December 28th.
Sasa iweje pasaka iwe maadhimisho ya kufufuka kwa yesu??
Je ilikuwaje mtu afe December afufuke baada ya siku 3 aibukie April???
Welcome for your contributions so that my mind can be conscioutized.
HAPPY TUESDAY, 16th.
Yes mm ni mkiristo ila am confused
Kweli kabisa, Yesu hakuwahi kuwapo, wala mungu hakuwahi kuwapo, wala mohamed wala dunia hii haipo ni story tu, hata wewe pia haupo ni ndoto tu. SHETANI PEKEE NDO YUPO ALOKUPA HIYO AKILI ULOKUWA NAYO.yesu hakuwahi kuwepo,it is a made up story
Du,mtoa mada tuwekee vifungu kwanza. Au hata google tu kama unakasimu kenye uwezo. Nafikir shida ni kuelewa maandiko tu.Wale wenye imani ya dini ya wakristo naomba mnisaidie vitabu vya dini vinatuambia yesu alikufa December ndo maana wakapanga maadhimisho ya kufa kwake.
Baada ya siku tatu alifufuka na kurejea mbinguni maana yake siku tatu baada ya Christmas ni December 28th.
Sasa iweje pasaka iwe maadhimisho ya kufufuka kwa yesu??
Je ilikuwaje mtu afe December afufuke baada ya siku 3 aibukie April???
Welcome for your contributions so that my mind can be conscioutized.
HAPPY TUESDAY, 16th.
sasa mungu anahusiana nini na yesu na mohamed!!!!!!halafu little knowledge is so dangerous...wazungu wamekubrain wash na upo kwenye kifungo kizito sana,achana na habari ya biblia,ni uzushi walioutunga wazungu kutawala watu kama weweKweli kabisa, Yesu hakuwahi kuwapo, wala mungu hakuwahi kuwapo, wala mohamed wala dunia hii haipo ni story tu, hata wewe pia haupo ni ndoto tu. SHETANI PEKEE NDO YUPO ALOKUPA HIYO AKILI ULOKUWA NAYO.
Pumbaf kabisa unawalaumu wazungu walokufanya ukavaa nguo na kukaa mbele ya kisimu chako cha mchina ukaandika huu utumbo nusu kilo bila hata ndizi.sasa mungu anahusiana nini na yesu na mohamed!!!!!!halafu little knowledge is so dangerous...wazungu wamekubrain wash na upo kwenye kifungo kizito sana,achana na habari ya biblia,ni uzushi walioutunga wazungu kutawala watu kama wewe
your level of arguing is low beyond imagination,you are not qualified to sit and feast with this guru on the same table...please do not quote me anymorePumbaf kabisa unawalaumu wazungu walokufanya ukavaa nguo na kukaa mbele ya kisimu chako cha mchina ukaandika huu utumbo nusu kilo bila hata ndizi.
Hahahaaaaaaa, umesalimu amri kijana. Weka mikono juu sasa.your level of arguing is low beyond imagination,you are not qualified to sit and feast with this guru on the same table...please do not quote me anymore