Congo crisis. Imeandikwa na Malisa GJ

Congo crisis. Imeandikwa na Malisa GJ

Mapatano alikuwa anasema mpiganaji mmoja juzi ni kwamba kwa kumuondoa Mobutu Rwanda itapewa North and South Kivu na Uganda itapewa Ituri..
Lakini kama watu wandaiana malipo kama hayo,it is something that can be estimated and calculated.
Nakumbuka wakati ule Tony Blair alipokuwa Waziri Mkuu siku moja ilitangazwa," Leo Uingereza imelipa installment ya mwisho ya deni lake kwa USA kwa msaada iliopata WW2"
Nakumbuka,Belgium ilisamehewa kwani madini yote ya uranium yaliyotumika kutengeneza mabomu ya atomic yalitoka Congo ambalo lilikuwa koloni la Belgium.
 
Asante sn kwa andiko hili. Binafsi sikuwa na uelewa wa kutosha kuhusu kiini cha mgogoro wa Congo, hadi niliposoma andiko hili
 
Back
Top Bottom