Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali liko wap hapoooAman kwenu watumishi wa MUNGU
Ni swali ambalo nauliza ?
Asante
SAYUNI BOY
DaaaaaahKichwa cha habari hakieleweki, maelezo kwa kina nayo hamna 😃
Tumepakana naoo kwa kupitiaa ziwa tanganyika kaka ukivuka msji upo koko kalemiiiJe Tanzania hatuna mkoa ambao unapakana na Kongo?
Kwan hujasoma raman ya Tanzania 🇹🇿 kakaMpaka wetu na Kongo upo kwa ziwa Tanganyika mkuu.
Mkos wa rukwa kigoma kote unafika Congo kwa botiOkay kwahiyo mkoa ni kigoma siyo?
Watapita wap na kuna ziwa kaka labda waiting rwanda au burund au uganda ndio wajeee TanzaniaAsante sana ndugu yangu
Nimeuliza hivyo sababu sijaona wakimbizi wakija tz
Njia nyingine ni ya Zambia kasumbalesa wajeee mpaks tunduma mbeya ni mbali kwa mguuu huweziMkos wa rukwa kigoma kote unafika Congo kwa boti
Ndio zinapakan zote ni ukanda wa magharibi kwa Tanzania 🇹🇿 ina kandaDuh rukwa tena ndugu yangu
Kwani rukwa na kigoma zinakalibiana?
Ulibahatika kupata elimu ya msingi tanzania?Je Tanzania hatuna mkoa ambao unapakana na Kongo?