Waulize vyurq wenzio mwaka huu tuu wamekosa ngapi...Wewe uliwahi kukosa penati ngapi tangu uzaliwe hadi hivi sasa ukiwa Makolokolo?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
morocco wanatamani mpira uishe
Kiko wapi sasa....Sioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
Kiko wapi sasa....
Lete mrejesho!Sioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
Vyurq = Vyura, unakimbilia wapi we Makolokolo hadi uandike kichina?Waulize vyurq wenzio mwaka huu tuu wamekosa ngapi...
1-1Lete mrejesho!
Kutoa draw ni moto? Basi wewe huwezi zaa kabisa. Kuna watu tunapeleka moto mpaka unawaka moto.Chizi Maarifa Kanawe Uchafu huo maana Moto ulipelekewa Na Congo sio wa kitoto
Morocco afungwe ili iweje?Washindani wetu ni DRC na Zambia wafungwe tu
Bado uko sawa kimwili na kirohoSioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.
asilimia 100. Morocco tushavuka hii hatua.Bado uko sawa kimwili na kiroho
Ndivyo unavyojidanganya siyo?Morocco afungwe ili iweje?Washindani wetu ni DRC na Zambia wafungwe tu
Ushaelewa tuliza wenge hilo gongowaziVyurq = Vryura, unakimbilia wapi we Makolokolo hadi uandike kichina?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nimetuliza wenge Makolokolo.Ushaelewa tuliza wenge hilo gongowazi
Sioni wanachocheza kiuhalisia.... Hamna team hapa. Huwa nashangaa wanavyoogopwa huku kwetu. Leo Morocco tunajipigia.