Jaribu kuchungiza mkuuSina uhakika
Ana hela zamani kabla ya ubunge alitaka kufungua DEIWAKA RADIO watu wakamtumia majambazUbunge unalipa kweli! Miaka mitano tu mahoteli wanajenga??
sasa kma Una access hapa kwenye server Una Leta nnKwa taarifa yako tu Sugu ni mwanangu kitambo tangu Mbeya day, nina access ya kumuuliza hili kwa mdomo, nimeandika hapa kuleta changamoto na kuchokonowa mada tu, hotel anayojenga Sugu ni kama Motel tu na siyo miradi mikubwa kama hiyo ya daraja la kigamboni ambapo ni sahihi kutoa kandarasi nje. usiniangalie kwa woga.
Mbona serikali inatumia fedha za kodi kuwapa wachina wajenge barabara na majengo? Ndo kusema hao hawajali ajira za ndani?Hivi Mbeya hakuna wakandarasi wa kujenga hiyo Hotel? tunategemea wabunge ndio waanze mfano wa kulinda ajila za ndani. mwenye maelezo zaidi anipatie.
Siyo lazima uwe na mali ya kiasi hicho.. Unaweza ukawa na kiasi tu cha kuanzia kisha hiyo hotel ikawa dhamana.. Na hupewi yote mia nane.. Unapewa kidogokidogo kwa kiasi cha ujenzi ikiwa full hilo jengo linakuwa security.. Sijajua exactly case yake..Kwan unafikiri mkopo say wa 800m unapata bila kua na mali yenye dhamani kama hiyo au zaidi ya hiyo?
Kivipi mkuuHuyo sugu hana maana,kaua ndoto za ndugu yangu (adili hisabati)
Wanachakachua sana na kuiba(wakandarasi wa Bongo)You have point, hata kama wana viwango akikujengea jengo moja yeye anataka apate majengo mawili kwa pesa yako hiyohiyo, nimeona hata nyumba za mfuko fulani kandarasi wamepewa wachina kuzijenga, sijaelewa hawa wakandarasi wazawa material sijui wananunuwa dunia ipi?