SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Big up homey boy unajua hapo ni ajira ngap unazalisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe kweli ni mlungo dvs5.unaweza chukua pesa kupitia kwa wadhamini.back to school Dude.Kwan unafikiri mkopo say wa 800m unapata bila kua na mali yenye dhamani kama hiyo au zaidi ya hiyo?
Kwenye mkopo hatuangalii dhamana bali wazo la biashara unayofanya kama litafanikisha kulipa mkopo na sio kukimbilia kuuza nyumba etc uliyoweka dhamana!Kwan unafikiri mkopo say wa 800m unapata bila kua na mali yenye dhamani kama hiyo au zaidi ya hiyo?
Kakaa nayo moyoni tu...Ni maelezo marefu,n'way ujumbe tampatia.
mkuu idriss unamahaba sana na fekero a.k.a sepetunga mama huruma
...mpunyenye wa besidei saa ngapi?acha majungu kuna wasio wabunge na wanahoteli chapa kazi kijana
Uchungu wa mwana aujua mzazi.....Alivong'ang'ania kuchukua amlee alikuwa anategemea nn?
Ahahahahahahaaaaaaaamkuu idriss unamahaba sana na fekero a.k.a sepetunga mama huruma
Ndio tulicho mtuma wananchi? Viongoz wetu wengi wanajiangalia wao siwezi kumpongeza nimafanikio yake not us kila siku najiuliza ni nani anaeweza kusimama badara ya kwetu(sisi) ili aisimamie haki na kupata tunachokiota? Sasa nimeamini ni mimi mwenyewe kwa mikono yangu na miguu ndasimama kujipigania viongozi wetu wamejawa na tamaaa pia kila kitu siasa
Uchungu wa mwana aujua mzazi.....
Pole, anaeingia leba ndo anajua uchungu nyie wengine mnahadithiwa tuHii kauli huwa siipendi..!!
Hapo mzazi ni nani na nani siyo mzazi?
Pole, anaeingia leba ndo anajua uchungu nyie wengine mnahadithiwa tu
eneo na kitakachojengwa ni dhama tosha,ndiyo maana imepewa kampuni kufanya ujenzi siyo pesa upewe uweke mfukoni halafu ulipe mafundi fake au uingize kwenye dili nyingine.Kwan unafikiri mkopo say wa 800m unapata bila kua na mali yenye dhamani kama hiyo au zaidi ya hiyo?
pun intended?mwambie adili achape kazi asisubiri vya watu.
Tatizo la hawa wa nyumbani linaeleweka akishavuta advance anaenda kula bats kwanza ndio aje aanze kazi,hapo lazima ajenge chini ya kiwango wengi tumewaona na majengo mengi yameanguka labda kama wamebadilika sasahili swala linahitaji kautafiti .. labda wakandarasi wa nyumbani hawana viwango....
Sina uhakikaTatizo la hawa wa nyumbani linaeleweka akishavuta advance anaenda kula bats kwanza ndio aje aanze kazi,hapo lazima ajenge chini ya kiwango wengi tumewaona na majengo mengi yameanguka labda kama wamebadilika sasa