Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 468
- 619
Habari za leo wakuu, kijana wenu nimerudi tena
Naomba yeyote mwenye kujua mtu anayehitaji dereva wa bodaboda yake aniunganishe maana naweza kufanya hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa.
Napatikana Mipango Dodoma
0624008133
Natanguliza shukrani.
Zanzibar-ASP
Naomba yeyote mwenye kujua mtu anayehitaji dereva wa bodaboda yake aniunganishe maana naweza kufanya hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa.
Napatikana Mipango Dodoma
0624008133
Natanguliza shukrani.
Zanzibar-ASP