Connection ya soko la mpunga

Kama uliununua bei juu ulipigwa, mpunga hauzidi 70k kwa gunia la debe 7 (standard) maeneo hayo.
 
Bei ya mchele/mpunga????


Kama mpunga, bei yako iko juu.

Gunia moja ukoboe upate kilo 100?
Maana kilo moja huku ni TZS 1,025/= mashineni, Ili upate faida?
Na mpunga gunia moja huwezi pata kilo 100.

Kuna "makandokando"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…