Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

Naomba nikutafute ndugu, kama hutojali nipe namba yako ya WhatsApp
 
Beware for human trafficking.
 
Vp mkuu Dubai pagumu au mbna afya inakataa samahan lkn maisha ya vyakula yapoje?
 
Nakupaje broh
 
hakuna msaada hapo... mtu kashakwanbia mshahala wa kwanza atachukua... kuna tofauti gani na mimi nilie sema kuwa hii fursa siitoi bure...?​
Tofauti ipo kubwa sana,
Wewe unataka kwanza hela ndio mtu aanze michakato ya kwenda huko. Ina maana mtu anatoa hela akiwa kazi hajapata. Anaweza akatoa na asipate.

Kwake ni mpaka ukipata kwanza kazi ndio unampa huo mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…