Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

We jamaa, huna tofauti na wachungqji, waliojaa kila Kona hapa, bongo, wote wanatsfuta namna yq kupata maokoto!
Kwa ufupi, ndugu zangu wasomaji, msiamini sana maneno ya mitandsoni kama haya, hapa, umeweka story zako, za, kusaka kazi, inawezekana ni maneno kama ya kwenye kanga tu,hatuwezi kudhibitisha, ni kama Geodave anaposema alifanya kikao na Mungu!
We huna msaada wowote, unataka vijana waingie kingi tu,
Mchango wangu:kazi, za, makampuni ya simu, Voda, tigo, Airtel, za, kwenye mineral, hufanywa na hizi kampuni, APM, pivotech,Csmusat, NETIS,NEWL(Sakina Arusha). sincro(Dar kwa, mwalimu).
Haya makampuni uajiri hata freshers kutoka vyyoni,baadhi hutangaza nafasi, kwenye kurasa zao, wengine kimya kimya, ibuka Getini pereka CV,
Kampuni nyingine Worldmobile wapo michenzani mall Zenj, floor number 6.hawa, wanafunga internet kwenye mashule,
Mkuu Samahani sijakuelewa,Hizo kampuni hapo sakina ndio zinatoa ajira nchi za kiarabu?naomba ufafanuzi
 
We upo uarabuni?
Kwa sasa nipo uarabuni huko Dubai
IMG_20240514_145215_612.jpg
hapo nikiwa kwenye treni ya mwendo Kasi a.k.a metro
 
Mimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.

Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo


Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji

NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Boss zikitokea nafasi zingine tofauti na kazi za ndani naomba nishtue
Mimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.

Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo


Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji

NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Boss zikitokea nafasi zingine tofauti na Kaz za ndani naomba nishtue.. mfano Kaz za viwandani na zinginezo
 
Mimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.

Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo


Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji

NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Nakuomba inbox boss
 
Sijasoma uzi ila jana nilimsikiliza balozi wa tanzania uingereza alisema watanzania bado tuko nyuma kwenye fursa za kimataifa .

Na hata waliozipata wengi wao ni watu wazembe wazembe wavivu
Sasa yeye si ndio ingekuwa kaziyake hiyo kusaidia mbona analeta mipasho..kama yupo UK alikuwa anazungumzia watanzania gani mbona kuna mafuliko ya wazanzibar hapo.
 
Mimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.

Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo


Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji

NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Nakupataje ndugu nahitaji hii kazi
 
Mkuu hakuna sehem niliyosema wewe mwizi..Rudia kusoma vzr..

Maarifa kwa 50k?

Pia napata waswas kwa maana umeeleza vtu na umekiri kwamba umeteseka kutafta kaz kwa mda mrefu na hujasema Kama ulshapata nafas ya kufanya kaz

Kaz za ulinzi ulkuwa ukipata hela ndogo bdye ukapata connection za Uarabuni..

Kama ulkuwa ukpata pesa ndogo na ukapata connection ya Uarabuni kwann ukabaki Dar es Salam??

Ili hali una connection ya kwenda huko.
IMG-20240523-WA0028.jpeg

Mkuu imenibidi niirudie hii comment Yako...hapo nipo posta ya dar es salaam...mkuu🤣🤣🤣

IMG-20240512-WA0102.jpeg

Hapo nikiwa kwenye treni yetu ya mwendo Kasi nikiwa naelekea morogoro...!
IMG-20240518-WA0048.jpg


Hilo jengo unalo liona hapo nyuma lipo Kijijini kwetu igunga...tuliwahi kumuweka mh Samia Suluhu Hassan...

Tujifunzeni kuishi maisha yetu harisi...sio Kila anae toa fursa humu mtandaoni ni tapeli😂😂😂

Nimeamua nikujibu kwa vitendo ndugu yangu.
IMG_20240611_032820_719.jpg
 
Back
Top Bottom