Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Bado anajitafuta yani hajafanikiwa kwenda hata Dubai mpaka leo hiiUlifanikiwa kwenda wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado anajitafuta yani hajafanikiwa kwenda hata Dubai mpaka leo hiiUlifanikiwa kwenda wapi
Mkuu Samahani sijakuelewa,Hizo kampuni hapo sakina ndio zinatoa ajira nchi za kiarabu?naomba ufafanuziWe jamaa, huna tofauti na wachungqji, waliojaa kila Kona hapa, bongo, wote wanatsfuta namna yq kupata maokoto!
Kwa ufupi, ndugu zangu wasomaji, msiamini sana maneno ya mitandsoni kama haya, hapa, umeweka story zako, za, kusaka kazi, inawezekana ni maneno kama ya kwenye kanga tu,hatuwezi kudhibitisha, ni kama Geodave anaposema alifanya kikao na Mungu!
We huna msaada wowote, unataka vijana waingie kingi tu,
Mchango wangu:kazi, za, makampuni ya simu, Voda, tigo, Airtel, za, kwenye mineral, hufanywa na hizi kampuni, APM, pivotech,Csmusat, NETIS,NEWL(Sakina Arusha). sincro(Dar kwa, mwalimu).
Haya makampuni uajiri hata freshers kutoka vyyoni,baadhi hutangaza nafasi, kwenye kurasa zao, wengine kimya kimya, ibuka Getini pereka CV,
Kampuni nyingine Worldmobile wapo michenzani mall Zenj, floor number 6.hawa, wanafunga internet kwenye mashule,
Huyo amedandia treni kwa mbeleMkuu Samahani sijakuelewa,Hizo kampuni hapo sakina ndio zinatoa ajira nchi za kiarabu?naomba ufafanuzi
Kwa sasa nipo uarabuni huko DubaiWe upo uarabuni?
Kazi...zipo za kumwagaPassport mm nnayo,, upande wa nauli upoje na kazi zipi zinazopatikana sana huko ungeziorodhesha
Alikusaidia...?Habari unaweza nicheki wasap 0747940315
Karibu sanaMkuu tuwasiliane
Nilifanikiwa kwenda Oman , Qatar na sasa nipo Dubai...!Ulifanikiwa kwenda wapi
Boss zikitokea nafasi zingine tofauti na kazi za ndani naomba nishtueMimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.
Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo
Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji
NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Boss zikitokea nafasi zingine tofauti na Kaz za ndani naomba nishtue.. mfano Kaz za viwandani na zinginezoMimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.
Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo
Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji
NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Nakuomba inbox bossMimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.
Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo
Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji
NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Sasa yeye si ndio ingekuwa kaziyake hiyo kusaidia mbona analeta mipasho..kama yupo UK alikuwa anazungumzia watanzania gani mbona kuna mafuliko ya wazanzibar hapo.Sijasoma uzi ila jana nilimsikiliza balozi wa tanzania uingereza alisema watanzania bado tuko nyuma kwenye fursa za kimataifa .
Na hata waliozipata wengi wao ni watu wazembe wazembe wavivu
Akikusaidia naomba unidai milioni 1 kwenye namba hii 0759170794Nakuomba inbox boss
Nakupataje ndugu nahitaji hii kaziMimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.
Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo
Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji
NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Akikusaidia naomba unidai milioni 1 kwenye namba hii 0759170794Nakupataje ndugu nahitaji hii kazi
Hatimae umefika dubai.HongeraAkikusaidia naomba unidai milioni 1 kwenye namba hii 0759170794
Shukrani sana...Hatimae umefika dubai.Hongera
Mkuu hakuna sehem niliyosema wewe mwizi..Rudia kusoma vzr..
Maarifa kwa 50k?
Pia napata waswas kwa maana umeeleza vtu na umekiri kwamba umeteseka kutafta kaz kwa mda mrefu na hujasema Kama ulshapata nafas ya kufanya kaz
Kaz za ulinzi ulkuwa ukipata hela ndogo bdye ukapata connection za Uarabuni..
Kama ulkuwa ukpata pesa ndogo na ukapata connection ya Uarabuni kwann ukabaki Dar es Salam??
Ili hali una connection ya kwenda huko.