Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

Connection za kazi nje ya nchi: Qatar, Oman, Dubai, Saudi, UAE

Mimi ninaitoa bure kabisa ukiamua kusaidia watu we wasaidie tu hapo kwa ulichokiandika hakuna tofauti na upigaji.

Muhimu ili usaidiwe ni lazima uwe na
1😛assport
2:cheti cha afya ambacho mnazi mmoja wanatoa kwa 30k unakipata ukiwa fresh safari ipo


Kuhusu usafiri na visa hizo ni gharama za tajiri ambae anakuhitaji

NB: mshahara wako wa kwanza ukianza kazi unakuwa wa agent kama fee kwa sasa zipo nafasi kwa wafanya kazi wa kazi za ndani tu na mikataba ni kuanzia 6 up to 12 month's
Habari unaweza nicheki wasap 0747940315
 
hiyo ni changamoto kubwa sana haswa ukizingatia kuwa kuna upigaji sana... wapo watu wana jidai kuwa wanaweza kumsaidia mtu kusafiri at the end wanamtapeli hilo lilichangia sana watu kuogopa kutafuta fursa.

video zinazo rushwa za watu wanao dai wana nyanyaswa pia ni chanzo kikubwa cha watu kuogopa safari.

hata humu tu ukisema habari sijui za uarabuni lazima zipatikane feedback mbaya...!

Mkuu Hizi habari za manyanyaso nchi za kiarabu ni kweli au ??
 
Kuna jamaa alinipq namba za wakala wa kutafuta kazi.huko arabuni.nilipomtafuta akasema kwa sasa kazi za wanaume hana.ila za wanawake anazo.wakala yupo dar namba zake hizi.0717643900 muhsin.
kwa wanawake jaribuni
 
Mkuu Hizi habari za manyanyaso nchi za kiarabu ni kweli au ??
sio kweli.... wanao lala Mika kunyanyaswa kuna kitu huwa wanakorofisha ndio maana yana wakuta.... ila nchi za kiarabu ni nchi zenye kufuata sheria na itikadi kali ukienda na utanzania...

ukaendekeza uvivu na kutokufuata taratibu lazima utawaona wana roho mbaya. kwa kifupi mtu analipia huduma ili apate matokeo mazuri.

huu mchakato wa ajira warabu huwa wanagharamia pesa kwa asilimi 100 ili wapate mfanyakazi mzuri.

na cha kujiuliza kwanini wanao lalamika kunyanyaswa wengi ni wanawake... je hakuna wanaume wanaoenda...?​
 
sio kweli.... wanao lala Mika kunyanyaswa kuna kitu huwa wanakorofisha ndio maana yana wakuta.... ila nchi za kiarabu ni nchi zenye kufuata sheria na itikadi kali ukienda na utanzania...

ukaendekeza uvivu na kutokufuata taratibu lazima utawaona wana roho mbaya. kwa kifupi mtu analipia huduma ili apate matokeo mazuri.

huu mchakato wa ajira warabu huwa wanagharamia pesa kwa asilimi 100 ili wapate mfanyakazi mzuri.

na cha kujiuliza kwanini wanao lalamika kunyanyaswa wengi ni wanawake... je hakuna wanaume wanaoenda...?​
Nimekuelewa vzr mkuu.
 
Kwa nchi za waarabu hapana.
Ingekuwa UK, USA au Canada ningekutafuta.
hutopata hizi nchi unazo taka... kama huna pesa... andaa 15m... kama unayo weka benk kisha cheza bahati nasibu ya GREEN CARD LOTTERY... inayochezeshwa kila mwisho wa mwezi wa 9 kila mwaka...

ikibahatika kushinda hiyo 15m itakusaidia kukufikisha Marekani kama unavyotaka...

mchakato wa kwenda marekani sio kitoto...!​
 
hutopata hizi nchi unazo taka... kama huna pesa... andaa 15m... kama unayo weka benk kisha cheza bahati nasibu ya GREEN CARD LOTTERY... inayochezeshwa kila mwisho wa mwezi wa 9 kila mwaka...

ikibahatika kushinda hiyo 15m itakusaidia kukufikisha Marekani kama unavyotaka...

mchakato wa kwenda marekani sio kitoto...!​
Sasa wewe nae kamba nyingi yaani mtu ana millioni 15 na asubiri bahati nasibu kuingia USA mbona hiyo hela mtu anaenda bila shida yyte muhimu akidhi vigezo tu.
 
Back
Top Bottom