screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
UFC 257 inawakutanisha tena Conor McGregor na Dustin Poirier kwa mara ya pili baada ya pambano lao la kwanza lililofanyika mwaka 2014 (UFC178) Conor kufanikiwa kuibuka na ushindi wa TKO Round ya kwanza.
Hata hivyo baada ya miaka mingi kupita Dustin ameonekana akiwa bora sana na kufanikiwa kuwapiga wakali kama Gaethje na Holloway na kumfanya kwenda juu kwenye Ranking (No2) kwenye uzito wa Lightweight, huku Conor akiwa No4. Lakini ikumbukwe pia hawa wote wawili wamepoteza mapambano yao dhidi ya mrusi Khabib Nurmagomedov ambaye mwaka jana mwishoni alitangaza kustaafu baada kumpiga Justin Gaethje, Khabib alikuwa na mazungumzo hivi karibuni na Rais wa UFC Dana White ya kumshawishi kubadili mawazo yake ya kustaafu.
Hatahivyo Khabib hakukubali moja kwa moja alisema atarudi ulingoni tena endapo atashawishiwa na performance ya wawili hawa. Hali hiyo inafanya pambano hili kuwa na mvuto maradufu huku likitarajiwa kuwa na mauzo makubwa ya ppv, je ni nani ataibuka mshindi? Majibu tutayapata usiku wa leo....
View attachment 1684056
Hata hivyo baada ya miaka mingi kupita Dustin ameonekana akiwa bora sana na kufanikiwa kuwapiga wakali kama Gaethje na Holloway na kumfanya kwenda juu kwenye Ranking (No2) kwenye uzito wa Lightweight, huku Conor akiwa No4. Lakini ikumbukwe pia hawa wote wawili wamepoteza mapambano yao dhidi ya mrusi Khabib Nurmagomedov ambaye mwaka jana mwishoni alitangaza kustaafu baada kumpiga Justin Gaethje, Khabib alikuwa na mazungumzo hivi karibuni na Rais wa UFC Dana White ya kumshawishi kubadili mawazo yake ya kustaafu.
Hatahivyo Khabib hakukubali moja kwa moja alisema atarudi ulingoni tena endapo atashawishiwa na performance ya wawili hawa. Hali hiyo inafanya pambano hili kuwa na mvuto maradufu huku likitarajiwa kuwa na mauzo makubwa ya ppv, je ni nani ataibuka mshindi? Majibu tutayapata usiku wa leo....
View attachment 1684056