Construction of Nairobi BRT has started. Real the best in Africa

Construction of Nairobi BRT has started. Real the best in Africa

Joto la jiwe kuna wadau wanaomba link ya hii thread kule dar vs nai najaribu inashindikana if possible watag
Mimi sio mtaalam kaka ngoja Anael, Geza ulole au ichobyo wakija tuwaombe wafanye hivyo, au yeyote yule mwenye kufanya hivyo tunaomba atusaidie kuna wadau huko wanataka kuchangia hii thread.
 
tusan tusaidie kuipeleka hii thread kula Dar vs Nairobi tafadhali
 
The construction of Nairobi BRT which some of Kenyan JF members had told us has started.
They told us that we dont have the best BRT so they favoured the one from South America country of Colombia
This BRT is so unique and the best in Africa so far.View attachment 735206 View attachment 735207 View attachment 735204
Check out @C_NyaKundiH’s Tweet:

Kenya yangu aibuuuuu,hapa nakubaliana na wabongo kibasaaaaaa hapa hatuna kiongozi...duh tumechemshaaaa kweli😡🙁
 
This not how a BRT is built. You cant subdivide a road then label it "BRT". They should visit Dar and see the company incharge of brt, the infrastructure built, the buses procured and the business model behind it.
This is Just shit, unplanned reactionary nonesense that will fail terribly.
safi sana umeongea point nzuri sana
 
mimi sioni shida hapo...hata BRT za ulaya ziko ivo tu na stations zimejengwa ,kenya tuko na barabara mzuri so kutenga part moja ya road sioni kosa,ama mlitaka ijengwe kama ile ya tz ambazo lanes zimezungukwa na tofali !!!
tuoneshe au unataka kuoneshwa😀😀😀
 
mimi sioni shida hapo...hata BRT za ulaya ziko ivo tu na stations zimejengwa ,kenya tuko na barabara mzuri so kutenga part moja ya road sioni kosa,ama mlitaka ijengwe kama ile ya tz ambazo lanes zimezungukwa na tofali !!!
Kwanza barabara ya BRT chini inatangulia zege(concrete) then unaweza weka juu rami au ukaacha. Concrete inatumika kwasababu mabasi ni mazito.
 
Kenya yangu aibuuuuu,hapa nakubaliana na wabongo kibasaaaaaa hapa hatuna kiongozi...duh tumechemshaaaa kweli😡🙁
Kenya mpo wabovu sana katika planning stage, huwa miradi yenu mingi sana hamuipangi vizuri, mnakimbilia kwenye implementation stage, matokeo yake miradi yenu inakuwa ya hovyo sana, au inatumia pesa nyingi sana, au sio first priority kwa wakati huo, hivi tatizo ninini?
 
tano tena au sio wajameni😀😀😀😀 si nihivo ana sivo wajamen
CC1993B6-9C95-417C-A9AE-1ADE3F834715.jpeg
3AD456D6-E65F-4A09-9AA6-1B43CA29C431.jpeg
A0E29E9E-E34B-4E4E-95CB-EF50EBC4B513.jpeg
45E840AC-C8AF-4434-818B-AEB0FF0F3E09.jpeg
926ACB1C-AD00-41BE-9D17-0FAA209AB108.jpeg
 
Back
Top Bottom