juma sal
Senior Member
- Dec 18, 2011
- 156
- 88
Habari zenu wana-jf wababa,wamama,wakaka,wadada, rika langu na wengineo pia
Hili ni suala la ukweli hivyo basi uliyesoma hii thread naomba unipe mawazo yako ili nifanye maamuzi ya mbolea na yenye tija kwangu....na hii thread sio sehemu ya utani na masihara.
mm ni kijana mwenye umri kati ya miaka 23-30 pia ni mwanafunzi wa shahada ya kwanza, ktk pitapita zangu nimekutana na binti ambae ana kila kitu ninachokipenda awenacho mwanamke ambae siku moja atakua mke wangu...kwa dhati kabisa huyu binti nampenda...ila kabla sijamtamkia lilomoyoni mwangu nikam-google ili nitafute taarifa zake hasahasa back ground yake ya elimu(form 4 & 6) na hata account yake ya facebook( si unajua tena siku hizi watu hujianika facebook?)......hapo ktk elimu ndipo nilipopata taarifa ambayo imeninistua kidogo!!...mm na huyo binti tuko mwaka sawa chuoni ktk vyuo tofauti.... huyo binti japo anaumbile dogo kulinganisha nami lakini yeye mwaka mmoja baada ya yeye kumaliza form four mm ndo nilikua naanza form one!!!
Kwa mahesabu ya harakaharaka atakua amenizidi umri kati ya miaka 3-5 hivi.....swali langu je kama nitaammua kumfanya mke wangu na akiujua umri wangu ni mdogo kwake ataniheshimu kweli?....je ni busara kumuoa mwanamke aliekuzidi umri kama huu?....hivi atani-treat sawa kama mume au atanichukulia kama dogo?......naomba unishauri ktk hili, ahsante!!
Hili ni suala la ukweli hivyo basi uliyesoma hii thread naomba unipe mawazo yako ili nifanye maamuzi ya mbolea na yenye tija kwangu....na hii thread sio sehemu ya utani na masihara.
mm ni kijana mwenye umri kati ya miaka 23-30 pia ni mwanafunzi wa shahada ya kwanza, ktk pitapita zangu nimekutana na binti ambae ana kila kitu ninachokipenda awenacho mwanamke ambae siku moja atakua mke wangu...kwa dhati kabisa huyu binti nampenda...ila kabla sijamtamkia lilomoyoni mwangu nikam-google ili nitafute taarifa zake hasahasa back ground yake ya elimu(form 4 & 6) na hata account yake ya facebook( si unajua tena siku hizi watu hujianika facebook?)......hapo ktk elimu ndipo nilipopata taarifa ambayo imeninistua kidogo!!...mm na huyo binti tuko mwaka sawa chuoni ktk vyuo tofauti.... huyo binti japo anaumbile dogo kulinganisha nami lakini yeye mwaka mmoja baada ya yeye kumaliza form four mm ndo nilikua naanza form one!!!
Kwa mahesabu ya harakaharaka atakua amenizidi umri kati ya miaka 3-5 hivi.....swali langu je kama nitaammua kumfanya mke wangu na akiujua umri wangu ni mdogo kwake ataniheshimu kweli?....je ni busara kumuoa mwanamke aliekuzidi umri kama huu?....hivi atani-treat sawa kama mume au atanichukulia kama dogo?......naomba unishauri ktk hili, ahsante!!