Contacts Za Miss World Hizi Hapa

acheni roho mbaya kwani sitti akienda huko au asipoenda mnapata faida gani,mod futa thread hii imekaa kimajungu na uswahili mwingi

Itakua vizuri sana mana haki itakua imetendeka uso umemshuka kadaganywa kwa ajili ya rushwa na kufoji vyeti akatangazwa mshindi wakaachwa wenye vigezo
 
acheni roho mbaya kwani sitti akienda huko au asipoenda mnapata faida gani,mod futa thread hii imekaa kimajungu na uswahili mwingi

Ona sasa povu zimeshaanza kumwagika nani kawaambia mfanye usanii kwenye jambo muhimu km lile,,,,!
 

Nao watakuwa fake
 
Aisee sitti ana moyo mie hata nisingesibiri ivo maana subira sina
Watu wameona hapa nchini rushwa wamefata makao makuu kudanganywa zamani uko sahivi mitandao ya kijamii tele inabidi utoe uongo ulioenda shule tena ya maana sio kayumba pole sitti mpenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…