Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

Iyo issue ilimtokea hata Baghdad, yy ndo mbunifu wa kile kipindi cha. Bar tender kwa maelezo yake wkt anahojiwa na lil ommy kwny the play list Mwaka Jana anasema aliwasilisha content kwa mond pindi tu redio imefunguliwa akapewa maneno ya kukatishwa tamaa kama content n ya kawaida lkn badae akaona inaruka hewani pale usafini
[emoji3516]
HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unalolisema lina ukweli, lakini tukumbuke kuzisajili idea zetu ili kuondoa matatizo haya kama ya Baghdad
Unajua Idea ni pana sana aisee, naweza kusajili Idea ya kitu fulani then akatokea mwingine akachop kitu pale kwenye idea yako akafanya cha kwake.

Refer to Baghdad, wazo la kipindi chake ni title ya THE COUNTER Vs Wasafi ambao wakaleta THE BARTENDER. Hawa wote watajaribu kupita njia tofauti lakini main content itabaki ileile tu.

Kinachofanyika kuchange jina toka lile la mwenye wazo halisi.
Then,
Subtitles kidogo ili kupoteza maboya.
Target Audience watabaki walewale na hauwezi kusema umeibiwa kwasababu hao ndo walaji wa content za kila mtu.
Participants hawa wapo tu, kwenye ile orodha yako ambayo uliwaweka wewe wenzako wana edit tu basi.

Kwa nchi hizi za dunia ya tatu ili kufanikiwa ni lazima ukubali kurisk mara mbili zaidi ya kutake risk kwa wenzetu nchi zilizo endelea. Pasipo kufanya hvyo basi utaishia kuwa fukara kwa kuogopa wizi. Better kujaribu mara nyingi ili ubutue mara moja.
 
Hilo la muhimu nimemshangaa jamaa anaye lalamika wakati Youtube platform nzuri sana,sajili wazo lako fungua acc yako ya Youtube.
Tusifanye haya mambo kuwa ni mepesi sana, kumbukeni huyu mtu mnayemtaka aende kufungua YouTube ili kuweka mahudhui yake hana chochote zaidi ya capital ya Idea tu.

Imani yake ni kupitia idea yake ndo atengeneze pesa ili kukamilisha ndoto zake zingine, pengine hayo mambo ya kufungua online media. Kwa wakati huu sheria za haya mambo zimekuwa ngumu sana, tunashuhudia kila mara watu wanaotoa mahudhui bila kujisajili jinsi wanavyopata shida.

Halafu kwenda pale TCRA kujisajili siyo jambo dogo kwa huyu mtu mwenye mtaji wa Idea tu mnayemtaka afungue online media. Ikiwa Dj Choka aliyekuwa kwenye industry muda mrefu alichemsha itakuwaje kwa huyo mtu asiyemjua yeyote.
 
Tusifanye haya mambo kuwa ni mepesi sana, kumbukeni huyu mtu mnayemtaka aende kufungua YouTube ili kuweka mahudhui yake hana chochote zaidi ya capital ya Idea tu.

Imani yake ni kupitia idea yake ndo atengeneze pesa ili kukamilisha ndoto zake zingine, pengine hayo mambo ya kufungua online media. Kwa wakati huu sheria za haya mambo zimekuwa ngumu sana, tunashuhudia kila mara watu wanaotoa mahudhui bila kujisajili jinsi wanavyopata shida.

Halafu kwenda pale TCRA kujisajili siyo jambo dogo kwa huyu mtu mwenye mtaji wa Idea tu mnayemtaka afungue online media. Ikiwa Dj Choka aliyekuwa kwenye industry muda mrefu alichemsha itakuwaje kwa huyo mtu asiyemjua yeyote.
Brother siku zote mwanzo mgumu,mimi mwenyewe nilipitia magumu mpaka nikaja ipata certificate ambayo ili ni cost 1.8mil na si kwamba kitu chenyewe sijui nakijua sana bali walikuwa wanataka certificate,ilinichukua miaka mitatu,leo napeta.

Sometimes lazima ukubali kuumia kwani ukiumia unakuwa na uchungu wa kazi yako na hautofanya mchezo.
 
Brother siku zote mwanzo mgumu,mimi mwenyewe nilipitia magumu mpaka nikaja ipata certificate ambayo ili ni cost 1.8mil na si kwamba kitu chenyewe sijui nakijua sana bali walikuwa wanataka certificate,ilinichukua miaka mitatu,leo napeta.

Sometimes lazima ukubali kuumia kwani ukiumia unakuwa na uchungu wa kazi yako na hautofanya mchezo.

BUT KUMBUKA kwenye mafanikio kuna mambo makubwa matatu ili utoboe, naamini katika hayo mambo.
PESA- ukiwa nazo nirahisi kufanikiwa kwenye mambo mengi sana. No doubt!
WATU- kundi muhimu sana hili, hapa ndo watoto wa mjini wanaiita connection. Ukipata watu sahihi ni rahisi kusogea kwenye mafanikio.
WAZO/IDEA- Tufanye umekosa vyote japo juu but Mungu kakujalia Ideas. Nielewe, hapa pia ndio kuna njia yako ya kufanikiwa kwa wewe ambaye haukuwa na pesa wala watu wa kukushika mkono.

Yawezekana wewe umepita kwenye moja ya makundi mawili ya juu, unaweza ukaona unapambana una fanikiwa ukahisi umepigana kweli lakini uhalisia nyuma yako kuna watu ambao wamekufanya ukapata connection.

Bahati mbaya hizi connection hatuzioni kwasababu ya kulewa mafanikio. Si ajabu leo H.Baba kumtusi Dai mtu ambaye alitengeneza mnyororo wa mafanikio ya Harmo ambaye ndo anampa kula sasa. Sijui kama unanielewa lakini?
 
mayowela wewe ni mtaalamu wa media nahisi utakuwa mtu maarufu sana kwenye industries mimi siko kwenye filed hiyo ila uwa nakuelewa sana
 
Unajua Idea ni pana sana aisee, naweza kusajili Idea ya kitu fulani then akatokea mwingine akachop kitu pale kwenye idea yako akafanya cha kwake.

Refer to Baghdad, wazo la kipindi chake ni title ya THE COUNTER Vs Wasafi ambao wakaleta THE BARTENDER. Hawa wote watajaribu kupita njia tofauti lakini main content itabaki ileile tu.

Kinachofanyika kuchange jina toka lile la mwenye wazo halisi.
Then,
Subtitles kidogo ili kupoteza maboya.
Target Audience watabaki walewale na hauwezi kusema umeibiwa kwasababu hao ndo walaji wa content za kila mtu.
Participants hawa wapo tu, kwenye ile orodha yako ambayo uliwaweka wewe wenzako wana edit tu basi.

Kwa nchi hizi za dunia ya tatu ili kufanikiwa ni lazima ukubali kurisk mara mbili zaidi ya kutake risk kwa wenzetu nchi zilizo endelea. Pasipo kufanya hvyo basi utaishia kuwa fukara kwa kuogopa wizi. Better kujaribu mara nyingi ili ubutue mara moja.
hivi Baghdad angeamua kufanya hiyo idea ya THE COUNTER na Wasafi wakafanya THE BARTENDER Hakuna kitu kingekuwa tofauti, tuseme ni idea yote ya Baghdad imeibiwa hawezi tena kuja na kitu kama hiko, naona Clouds plus wana SPORT COUNTER, Kuna LIFE and VIBES pia kina maudhui kidogo kama hivo
 
Tusifanye haya mambo kuwa ni mepesi sana, kumbukeni huyu mtu mnayemtaka aende kufungua YouTube ili kuweka mahudhui yake hana chochote zaidi ya capital ya Idea tu.

Imani yake ni kupitia idea yake ndo atengeneze pesa ili kukamilisha ndoto zake zingine, pengine hayo mambo ya kufungua online media. Kwa wakati huu sheria za haya mambo zimekuwa ngumu sana, tunashuhudia kila mara watu wanaotoa mahudhui bila kujisajili jinsi wanavyopata shida.

Halafu kwenda pale TCRA kujisajili siyo jambo dogo kwa huyu mtu mwenye mtaji wa Idea tu mnayemtaka afungue online media. Ikiwa Dj Choka aliyekuwa kwenye industry muda mrefu alichemsha itakuwaje kwa huyo mtu asiyemjua yeyote.
mkuu ajue tu kuwa You tube is not for eveyone, hasa kwa hapa kwetu, Sheria ni ngumu for beginners
 
mayowela wewe ni mtaalamu wa media nahisi utakuwa mtu maarufu sana kwenye industries mimi siko kwenye filed hiyo ila uwa nakuelewa sana
Shukrani sana kaka Wise E , mimi sio mtu maarufu wala kaka, ila hii kitu ni passion tu japo familia ilinitoa kwenye mstari wakati nilipotaka kufanya maamuzi ya kusomea Mass communication, huwa napenda sana kufatilia hizi mambo
 
Alafu watu wote wamejikita kwenye burudani na comedy.Ila kuna hawa wavuvi ambao wana boti za kisasa wanaweza wakajirekodi wakiwa wanavua,watuonyeshee maisha ya uvuvi na changamoto wanazo zipitia alafu wanaziweka Youtube,wangepiga hela sana.

Huwaga naangaliaga Youtube kuna wavuvi wanavuaga samaki wakubwa ,wengine uzito wao unakaribia kilo 200/300 ,wale jamaa wanapiga hela mara mbili kupitia samaki na Youtube.
 
Bongo Kuna uhaba mkubwa Sana Wa Content Nlikuwa naangalia YouTube Chanel ya wanene nikaishia kushangaa tu.

Yaaani bado wanafanya zile panel discussion Sijui effects za madawa Ya Kulevya Kwa Tanzania ya viwanda, Mara Madada Poa etc etc. Alafu YouTube Sasa.

Unakuta video Ina week hata mbili views 500 haina. Hao ni Wanene. Yaani bongo content ni Sifuri.

I don't know ila Tunaitaji mifumo mipya kabisa kueliminate the system.
 
[emoji3516]
HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana umaskini ndo tatizo kwetu,
Ukiwa na uwezo hnaweza fanya kila kitu kama demostration then unapeleka media house...muhimu ni copy right ili hata wakiiba idea unaweza wa-sue!

Sema wengi hawana habari na copyright hapo ndipo media house wana take advantage!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu watu wote wamejikita kwenye burudani na comedy.Ila kuna hawa wavuvi ambao wana boti za kisasa wanaweza wakajirekodi wakiwa wanavua,watuonyeshee maisha ya uvuvi na changamoto wanazo zipitia alafu wanaziweka Youtube,wangepiga hela sana.

Huwaga naangaliaga Youtube kuna wavuvi wanavuaga samaki wakubwa ,wengine uzito wao unakaribia kilo 200/300 ,wale jamaa wanapiga hela mara mbili kupitia samaki na Youtube.
content ni nyingi sana sana
 
Bongo Kuna uhaba mkubwa Sana Wa Content Nlikuwa naangalia YouTube Chanel ya wanene nikaishia kushangaa tu.

Yaaani bado wanafanya zile panel discussion Sijui effects za madawa Ya Kulevya Kwa Tanzania ya viwanda, Mara Madada Poa etc etc. Alafu YouTube Sasa.

Unakuta video Ina week hata mbili views 500 haina. Hao ni Wanene. Yaani bongo content ni Sifuri.

I don't know ila Tunaitaji mifumo mipya kabisa kueliminate the system.
hahahaha ukija kwa viewers sasa hapo kaka ni kesi ingine, sisi watazamaji tunapenda sana habari za Ubuyu kuliko za maana
 
Hapana umaskini ndo tatizo kwetu,
Ukiwa na uwezo hnaweza fanya kila kitu kama demostration then unapeleka media house...muhimu ni copy right ili hata wakiiba idea unaweza wa-sue!

Sema wengi hawana habari na copyright hapo ndipo media house wana take advantage!!

Sent using Jamii Forums mobile app
issue ya Copyright ni somo ambalo wengi wao hawalijui na hawataki kulipia watu ambao ni proffesional wa mambo hizo ili wawasimamie kwenye kazi zao
 
Hapana umaskini ndo tatizo kwetu,
Ukiwa na uwezo hnaweza fanya kila kitu kama demostration then unapeleka media house...muhimu ni copy right ili hata wakiiba idea unaweza wa-sue!

Sema wengi hawana habari na copyright hapo ndipo media house wana take advantage!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli
 
Back
Top Bottom