Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

Iyo issue ilimtokea hata Baghdad, yy ndo mbunifu wa kile kipindi cha. Bar tender kwa maelezo yake wkt anahojiwa na lil ommy kwny the play list Mwaka Jana anasema aliwasilisha content kwa mond pindi tu redio imefunguliwa akapewa maneno ya kukatishwa tamaa kama content n ya kawaida lkn badae akaona inaruka hewani pale usafini
Alitakiwa akaiwasilishe sehemu ingine ilikuwa sio lazima palepale, angepeleka hata vituo3, kuna kimoja kingemuelewa
 
Nadhani yeye alipagawa na ule ugeni wa iyo house media, nahisi alidhani kipindi chake kingekuwa pale kingekuwa talk of town ukizingatia na ukubwa wa mtu anaesimama kama mmliki wa kituo

Alitakiwa akaiwasilishe sehemu ingine ilikuwa sio lazima palepale, angepeleka hata vituo3, kuna kimoja kingemuelewa
 
Nadhani yeye alipagawa na ule ugeni wa iyo house media, nahisi alidhani kipindi chake kingekuwa pale kingekuwa talk of town ukizingatia na ukubwa wa mtu anaesimama kama mmliki wa kituo
hapo ndipo alipofeli, hakuwaza mbali, angepeleka hata SIBUKA TV hahahahhaa
 
Nature yetu wanadamu tunapenda sehemu yenye potential mazingira yawe mazuri(kimalipo na kiutendaji) Tukiangalia upande wa media watu wenye contents au presenters wanakimbilia zile zilizobora na kipenzi cha watu ili vipaji vyao viweze kuonekana
Hahahaha kwanini
 
Nina idea moja kali sana ila nasubiri nipate nguvu ya kuisimamia maana nina kovu ya ka idea kangu kunyakuliwa na redio fulani baada ya kwenda kuiwasilisha ili nipate nafasi ya kuifanya kwa kujitolea lakini nikazungukwa ikatekelezwa kimya kimya mi nikastuka kipindi kinaruka tu hewani.
Wewe dada uliyenifanyia hivi huwa nakucheki nasema hiii.
 
Nature yetu wanadamu tunapenda sehemu yenye potential mazingira yawe mazuri(kimalipo na kiutendaji) Tukiangalia upande wa media watu wenye contents au presenters wanakimbilia zile zilizobora na kipenzi cha watu ili vipaji vyao viweze kuonekana
pia wale jamaa hawana Milage kivile, pia mikakati zero
 
Nina idea moja kali sana ila nasubiri nipate nguvu ya kuisimamia maana nina kovu ya ka idea kangu kunyakuliwa na redio fulani baada ya kwenda kuiwasilisha ili nipate nafasi ya kuifanya kwa kujitolea lakini nikazungukwa ikatekelezwa kimya kimya mi nikastuka kipindi kinaruka tu hewani.
Wewe dada uliyenifanyia hivi huwa nakucheki nasema hiii.
piga moyo konde ganga yajayo
 
Mkuu nigawie moja ahahahh
Nina idea moja kali sana ila nasubiri nipate nguvu ya kuisimamia maana nina kovu ya ka idea kangu kunyakuliwa na redio fulani baada ya kwenda kuiwasilisha ili nipate nafasi ya kuifanya kwa kujitolea lakini nikazungukwa ikatekelezwa kimya kimya mi nikastuka kipindi kinaruka tu hewani.
Wewe dada uliyenifanyia hivi huwa nakucheki nasema hiii.
 
Back
Top Bottom