Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

Alitakiwa akaiwasilishe sehemu ingine ilikuwa sio lazima palepale, angepeleka hata vituo3, kuna kimoja kingemuelewa
 
Nadhani yeye alipagawa na ule ugeni wa iyo house media, nahisi alidhani kipindi chake kingekuwa pale kingekuwa talk of town ukizingatia na ukubwa wa mtu anaesimama kama mmliki wa kituo

Alitakiwa akaiwasilishe sehemu ingine ilikuwa sio lazima palepale, angepeleka hata vituo3, kuna kimoja kingemuelewa
 
Nadhani yeye alipagawa na ule ugeni wa iyo house media, nahisi alidhani kipindi chake kingekuwa pale kingekuwa talk of town ukizingatia na ukubwa wa mtu anaesimama kama mmliki wa kituo
hapo ndipo alipofeli, hakuwaza mbali, angepeleka hata SIBUKA TV hahahahhaa
 
Nature yetu wanadamu tunapenda sehemu yenye potential mazingira yawe mazuri(kimalipo na kiutendaji) Tukiangalia upande wa media watu wenye contents au presenters wanakimbilia zile zilizobora na kipenzi cha watu ili vipaji vyao viweze kuonekana
Hahahaha kwanini
 
Nina idea moja kali sana ila nasubiri nipate nguvu ya kuisimamia maana nina kovu ya ka idea kangu kunyakuliwa na redio fulani baada ya kwenda kuiwasilisha ili nipate nafasi ya kuifanya kwa kujitolea lakini nikazungukwa ikatekelezwa kimya kimya mi nikastuka kipindi kinaruka tu hewani.
Wewe dada uliyenifanyia hivi huwa nakucheki nasema hiii.
 
Nature yetu wanadamu tunapenda sehemu yenye potential mazingira yawe mazuri(kimalipo na kiutendaji) Tukiangalia upande wa media watu wenye contents au presenters wanakimbilia zile zilizobora na kipenzi cha watu ili vipaji vyao viweze kuonekana
pia wale jamaa hawana Milage kivile, pia mikakati zero
 
piga moyo konde ganga yajayo
 
Mkuu nigawie moja ahahahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…