TunakimbizaUnapochukua control number toka mamlaka au taasisi mbalimbali za kiserikali kwa lengo la kulipia huduma fulani, mara nyingi huwa tunaishia kwa mawakala kwa malipo. Sasa hawa nawakala (wa benki mbalimbali) hutoza kuanzia TZS 500 hadi 1000. Hii ni sawa?
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.
Inashangaza kweli aisee,Unapochukua control number toka mamlaka au taasisi mbalimbali za kiserikali kwa lengo la kulipia huduma fulani, mara nyingi huwa tunaishia kwa mawakala kwa malipo. Sasa hawa nawakala (wa benki mbalimbali) hutoza kuanzia TZS 500 hadi 1000. Hii ni sawa?
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.
Deposit kwa wakala wa banks si ni bure!?Unapochukua control number toka mamlaka au taasisi mbalimbali za kiserikali kwa lengo la kulipia huduma fulani, mara nyingi huwa tunaishia kwa mawakala kwa malipo. Sasa hawa nawakala (wa benki mbalimbali) hutoza kuanzia TZS 500 hadi 1000. Hii ni sawa?
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.
Hapa tunazungumzia ku deposit kwa wakala wa banks. Kwa kutumia control numbers (malipo ya Serikali) .Kwa nini msiweke hela kwenye simu zenu?
tiGO Pesa, M Pesa Airtel Money n.k.
Huko nako wanakatwa😂😂😂😂tena Tigo nadhani kiwango cha chini ni 1200Kwa nini msiweke hela kwenye simu zenu?
tiGO Pesa, M Pesa Airtel Money n.k.
Leo naenda posta kuchukua parcel zangu kutoka china, ntaleta mrejeshoHuko nako wanakatwa😂😂😂😂tena Tigo nadhani kiwango cha chini ni 1200
Boss nchi hii ni ya biashara huria. Ile commission anayopata wakala kwa miamala hiyo ni ndogo sh 100 sasa wakala anajiongeza ili naye apate chochote. Huo utaratibu sio sahihi lakini biashara lazima iwe na faida ndio maana halazimishi hutaki kumpa chochote anakuachaUnapochukua control number toka mamlaka au taasisi mbalimbali za kiserikali kwa lengo la kulipia huduma fulani, mara nyingi huwa tunaishia kwa mawakala kwa malipo. Sasa hawa nawakala (wa benki mbalimbali) hutoza kuanzia TZS 500 hadi 1000. Hii ni sawa?
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.
Kwa hiyo Wakala anaona unakwepa tozo hivyo anajiongeza, unakwepa 1200 hutaki kulipa 500?.Huko nako wanakatwa😂😂😂😂tena Tigo nadhani kiwango cha chini ni 1200
Mkuu lipia kwa simu yako uone kama ni bureMalipo ya serikali yote ni bure, ndio maana wao uchaji nje ya mfumo iliwapate chochote.
Kuna app ya E government unalipa almost Kila kitu Cha serikaliHapa tunazungumzia ku deposit kwa wakala wa banks. Kwa kutumia control numbers (malipo ya Serikali) .
Alaa OK.Kuna app ya E government unalipa almost Kila kitu Cha serikali
Eeeh tigo na mpesa lazima wachukue kauchakavu kaoAlaa OK.
Lkn SI Ndio Kuna Ka-commission pia?
Sawa. Ndio Convenience laziim ugharamikeEeeh tigo na mpesa lazima wachukue kauchakavu kao
Malipo ya serikali yote ni bure, ndio maana wao uchaji nje ya mfumo iliwapate chochote.