Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,290
- 2,468
Unapochukua control number toka mamlaka au taasisi mbalimbali za kiserikali kwa lengo la kulipia huduma fulani, mara nyingi huwa tunaishia kwa mawakala kwa malipo. Sasa hawa nawakala (wa benki mbalimbali) hutoza kuanzia TZS 500 hadi 1000. Hii ni sawa?
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.