Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Elfu 4!??Acha uongo
Weka pesa kwenye simu yako leo alaf ukalipie control number ya Serikali uone kama hawalati ada yao.
Mfano ukituma laki 2 wanakata 4K.
Tusitoe ushahidi wa uongo JF ni mtandao wenye heshima zake
Nimelipa ada ya mwanachuo juzi 565,000 kwa tigo,wamekula 7,000.Elfu 4!??
Parefu [emoji22]
Ok, nilienda nimechukua Parcel mbili nikalipia 4700, parcel moja ni 2350Kwema kiongozi? mrejesho tafadhali japo siku zimepita
Unapochukua control number toka mamlaka au taasisi mbalimbali za kiserikali kwa lengo la kulipia huduma fulani, mara nyingi huwa tunaishia kwa mawakala kwa malipo. Sasa hawa nawakala (wa benki mbalimbali) hutoza kuanzia TZS 500 hadi 1000. Hii ni sawa?
Mamlaka husika tunaomba majibu. Hoja zao ni kuwa hawapati faida yoyote kupitia hizo namba, hivyo wanajiongeza. Ukisema hulipi na hutaki kukatwa wala hawana muda nawe.
Kwa nini msiweke hela kwenye simu zenu?
tiGO Pesa, M Pesa Airtel Money n.k.
Vipi ikitokea umechukua Control Number then usifanye malipo husika mpaka Control number ika expire apo kuna kuwa na kosa kisheria na sheria inasemaje juu hili, msaada jamani kuna jamaa wale wa mawakala wa vipimo kanipeleka hadi polisi kisa sijalipia Control number niliyochukua
Biashara huria mkuu kama sitaki amna wakulazimisha, ndo maana ukienda kwa mawakala na cotroll no wanakwambia awana salio sio kua awana salio ila awatki kujishosha kwa shi 100.....!Nikwel kabisa inabidi serikali iingilie kati hii kitu maana malipo tunafanya ni ya serikali lakini mtu ndo anakukazia hivyo inabidi watoe tamko na kuwachukulia sheria kali wale wote wanao fanya hivyo
Kukatwa sh 92 na kukatwa sh 500 ipi bora?Ukilipia kwa cm wanakata
Ukishapewa control number unalipa vyovyote vile na utapewa jibuHapa tunazungumzia ku deposit kwa wakala wa banks. Kwa kutumia control numbers (malipo ya Serikali) .
Mbona mi nililipa 500 hawakukata chochoteHuko nako wanakatwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tena Tigo nadhani kiwango cha chini ni 1200
Watz wengi bado ujinga haujaisha, wana simu ila ujinga haujaisha. Ndio maana hadi leo mtu anatozwa 2000 hadi 4000 kwa loss reportKuna app ya E government unalipa almost Kila kitu Cha serikali
Muda Wa Control Number Ukiisha Hutaweza Kufanya MalipoVipi ikitokea umechukua Control Number then usifanye malipo husika mpaka Control number ika expire apo kuna kuwa na kosa kisheria na sheria inasemaje juu hili, msaada jamani kuna jamaa wale wa mawakala wa vipimo kanipeleka hadi polisi kisa sijalipia Control number niliyochukua
Control number sio hiari mpaka umeitafuta 90% shida itakuwa upande wako. Hamna mtu anayepewa control number kama zawadi!Vipi ikitokea umechukua Control Number then usifanye malipo husika mpaka Control number ika expire apo kuna kuwa na kosa kisheria na sheria inasemaje juu hili, msaada jamani kuna jamaa wale wa mawakala wa vipimo kanipeleka hadi polisi kisa sijalipia Control number niliyochukua
Loss report utaiweza sasa, mie na ujanja wangu wote ni lazma nikasalimishe buku 3 kwenye stationery yoyote ya askari hasa zile za mkabala na kituo cha polisi.Watz wengi bado ujinga haujaisha, wana simu ila ujinga haujaisha. Ndio maana hadi leo mtu anatozwa 2000 hadi 4000 kwa loss report
Nilipigwa buki 3 mara moja nilipojua aise nilijiona falaa sanaa sema siku ile simu ilikuwa imezima ila ni simple sanaa...Loss report utaiweza sasa, mie na ujanja wangu wote ni lazma nikasalimishe buku 3 kwenye stationery yoyote ya askari hasa zile za mkabala na kituo cha polisi.
Nilishajaribu kufanya mwenyewe ila system inakwamia njiani sikamilishi lengo. Ila ukienda kwa wale wadada wa stationery ni chapu tu unafanikishiwa.
Mkuu ulibahatika mie sijawahi kufanikiwa nikilifanya hilo mwenyewe. Halafu wenyewe wanadai kuna verification flani lazma polisi wenyewe wafanye sijui.Nilipigwa buki 3 mara moja nilipojua aise nilijiona falaa sanaa sema siku ile simu ilikuwa imezima ila ni simple sanaa...
Poleni sana wazee ndio muda wa kulamba asali huuYani bi maza ana balaaa.. Juzi nalipa control namba 200K wakala kichwa 5K aisee ni balaa huyu mama atatuuua