COP Misri Imeisha, Maji kuanza kutoka (tena) soon!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika huko Misri umeisha thank God, na sasa hali kuanzia kurejea kama kawaida hapa Duniani, ukame utaisha na Watanzania wataanza kupata maji (tena), maji yataanza kutoka siku chache zijazo, amini usiamini, ni hivyo, it’s a game, …
 
Maeneo yetu leo siku ya pili maji yanatoka
 
Sure hata watalaam wa wamiruvu basin tunawahakikishia maji soon mtayaona dalili za mvua zipo na baadhi imenyesha tuko site
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…